Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,071
- 17,789
Hizi paa zao jamani. Sijui ni mimi tu ila....Kitenge under construction 🤣🤣🤣
View attachment 2922207
Hizi paa zao jamani. Sijui ni mimi tu ila....Kitenge under construction 🤣🤣🤣
View attachment 2922207
Tulia brathe ushaanza kulowa jasho na kulia ila hata hatujaanza kukumarinate. Na tukianza kukuweka kwa jiko utafanya nini?😂Expressway ilijengwa kwa sababu sio Mali yenu ni Mali ya mchina ambaye lazma ajenge haraka ili aanze kurudisha pesa yake haraka over 30 good years mchina ataimiliki
SGR same story like expressway 😂😂😂😂😂
Swali la kukuuliza hio stadium ni mikopo au pesa ya ruto ?? Hapo ndio ukweli utajulikana 😂
Inayochezewa rangi au uwanja??Nyamagana rangi sh ngapi jamani?
Hivi, mbona kupaka rangi Tanzania ni shida? Ukiangalia zile nyumba zenu za Dar Hali ni hivyo hivyo.
Bongolala render imekuwepo hizi siku zote. It's about groundbreaking. Najua hiyo ndio inawaumiza moyo. You thought it will never get built. Poleni sana kwa maumivu 😆😆Vinyang'au vinajiona vimepata nguvu baada ya kuona render, ha ha ha😎
Bro hizi ni nini sasa? I expected you to post a stadium, sio grazing fields.Abeid karuta,Jamhuri Morogoro,Nyamagana Mwanza na Mkwakwani Tanga.View attachment 2922166View attachment 2922167View attachment 2922168View attachment 2922169
Sasa hizo vitu umepost ndio unasema are better than Kenyan stadiums?Inayochezewa rangi au uwanja??
Kenyans huwa hamkosi sababu aisee.
Hizo nyumba zenye tatizo la rangi Tz labda miji mikongwe kama Gongo la mboto .
Kwa hivyo Dar miji zote ni mikongwe?Inayochezewa rangi au uwanja??
Kenyans huwa hamkosi sababu aisee.
Hizo nyumba zenye tatizo la rangi Tz labda miji mikongwe kama Gongo la mboto .
Haituumuzi moyo kabisa. Karibuni mfuate nyayo zetu. Tulianza na Mkapa miaka mingi iliyopita😎😎Bongolala render imekuwepo hizi siku zote. It's about groundbreaking. Najua hiyo ndio inawaumiza moyo. You thought it will never get built. Poleni sana kwa maumivu 😆😆
Hivi mna stadium yenye goal line technology? Mna stadium yenye iko customized to football and rugby bila running tracks? Wacha kujifurahisha.🤣Haituumuzi moyo kabisa. Karibuni mfuate nyayo zetu. Tulianza na Mkapa miaka mingi iliyopita😎😎
Wewe mbwa soma chini 👇hapo😂😂 usiporidhika niambie I'll post jengo moja mojaFinancial Center with no single bank, Financial center with no single insurance company, finance center with single financial institutions.
Ilikuwa tu lazima uite that dusty place ati financial Center?
East Africa only have One pure financial Center which is Upperhill.
Bank zinazopatikana huu mtaa.
CRDB
NMB
Azania bank
TADB
TCB
BOT ipo mitaa hii pia.
Kama haiwaumizi hamngeshinda hapa mkisema render render like parrotsHaituumuzi moyo kabisa. Karibuni mfuate nyayo zetu. Tulianza na Mkapa miaka mingi iliyopita😎😎
Hata usemeje wewe nyang’au hiyo haitabadilisha kitu🙂Hivi mna stadium yenye goal line technology? Mna stadium yenye iko customized to football and rugby bila running tracks? Wacha kujifurahisha.🤣
Leo Simba wanacheza CAF champion tutakuletea real pics wala usihangaike 🤣🤣
Narudia kukwambia Tanzania hua hairudii maneno mara mbili 😂😂😂😂😂Stop showing us story za vijiweni. Tuonyesge construction progress imefikia wapi
Wana bahati wangewapa KDF lingewaangukia kama gunia la mkaa
View: https://twitter.com/ntvkenya/status/1763863442392219856?t=2o6koHK49RhcvO1aVGf0ng&s=19
After renovation mkwakwani stadium tangaRangi ni shilingi ngapi huko Tanga?
View attachment 2922203
This wall must have seen a new coat of paint during Nyerere's time