Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Wakunyanduliwa leo wamepata project yao mpya ya stadium,wanavyoflow nayo ndio utajua walikua na kiu ya namna gani ya vitu vipya!na halafu iko wanachotamba nacho TZ tayari tunacho zaidi ya miaka 20 iliyopita,na kuna project 2 kama hizi underway,hapo ndio utawajua kunyanduliwa ni washamba namna gani