Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa kuwa una akili ya kienyeji ndio unaona ni big deal.Hakukuwa na uhitaji wowote wa kiuchumi wa Hilo daraja Kwa Sasa.

Ningekuwa Mimi ningejenga uwanja mkubwa wa Ndege na building terminal nzuri hapo Mwanza na kuweka vivuko vya Kisasa.

Pesa zingine ningetandaza lami za mitaa Jiji Zima Ili kuligeuza kuwa commercial City kweli kweli.

Mwanza ni Moja ya Miji ya hovyo imejaa mavumbi na slums everywhere kama Mbeya ,Hadi Dom imeipita Kwa mbali.

Dar tuu hapo Kuna zaidi ya km 500 za lami zinaendelea Ili kulifanya Jiji Hilo kuwa vibrant City ya biashara na kuondoa Mafuriko ya Kila siku.

Hilo daraja lenu lingekuja baadae sana baada ya Volume ya biashara kuongezeka nk
That's why nasema I doubt your level of education and reasoning capability.
Watu wanaovuka kuja upande wa pili ni wananchi wa hand to mouth na biashara zao nyingi huzifuata ama kuzifanyia ng'ambo.
Kivuko cha kisasa cha kutembeza watu 30+ kilometa?
Sehemu ambayo mzunguko wa kiutaftaji ni mara kwa mara?!
Pindi kivuko kama cha MV.Magogoni kikibeba round ya kwanza kinaacha mamia ya raia ng'ambo wakiwaza na kuwazua kinarudi saa ngapi ili nao wavuke kwenda kufanya shughuli zao za kipato.
Unataka zitandazwe rami kwanza kesha uache wananchi wakitaabika katika suala la kuendea shughuli za kiuchumi???
Unatakiwa urudi darasani aisee.
Pia ondoa ujinga TZ mji pekee uliojengwa kwa mipango miji ni MWANZA labda Dodoma ndio itakuja kuipiku kwasababu ni mji wa kiserikali.
Ila kimipango miji kwasasa HATA DAR HAIJAJENGWA KIMPANGILIO KUIZIDI MWANZA nimefika.
 
Screenshots_2024-02-29-09-34-56.png
 
That's why nasema I doubt your level of education and reasoning capability.
Watu wanaovuka kuja upande wa pili ni wananchi wa hand to mouth na biashara zao nyingi huzifuata ama kuzifanyia ng'ambo.
Kivuko cha kisasa cha kutembeza watu 30+ kilometa?
Sehemu ambayo mzunguko wa kiutaftaji ni mara kwa mara?!
Pindi kivuko kama cha MV.Magogoni kikibeba round ya kwanza kinaacha mamia ya raia ng'ambo wakiwaza na kuwazua kinarudi saa ngapi ili nao wavuke kwenda kufanya shughuli zao za kipato.
Unataka zitandazwe rami kwanza kesha uache wananchi wakitaabika katika suala la kuendea shughuli za kiuchumi???
Unatakiwa urudi darasani aisee.
Pia ondoa ujinga TZ mji pekee uliojengwa kwa mipango miji ni MWANZA labda Dodoma ndio itakuja kuipiku kwasababu ni mji wa kiserikali.
Ila kimipango miji kwasasa HATA DAR HAIJAJENGWA KIMPANGILIO KUIZIDI MWANZA nimefika.
Pole sana Kwa hiyo pale ferry Dar wanapovuka watu Kwa panton hawafanyi hand to mouth au ni wachache kushinda wa hapo?

Watu ambao hamjasoma uchumi Huwa mna matatizo ya ulinganifu wa kiuchumi na ndio mnatusababishia mabilioni yanapotea Kwa sababu za Miradi ya kupigia picha.

Mara nyingi watu wenye akili ndogo Huwa wanapenda vitu vya aina hiyo ,huwezi Kuta wanashughulika na mambo ya Kuinua Hali za maisha ya watu.Mnapenda vitu cheap cheap kupigia picha.
 
Sitaki Sgr Hadi keshokutwa na sitaki daraja la Magufuli Hadi kaburini ni maamuzi ya kienyeji yasiyo na Tija.

My problem with Bwawa ni kwamba unaanza kujengwa bwawa la Kuchukua miaka Ili likamilike then hapo katikati huandai vyanzo vya mda mfupi vya kuja kukabiliana na demand inayoongezeka unapojemga bwawa then mtu anakuja kusema Samia amesababisha umeme kukatika,ujinga.

Nachoamini big projects hazihitaji rash maana Huwa Zina athari kubwa Kwa sekta zingine.magufuli alisimamisha Kila kitu anasingizia kujenga bwawa sijui Sgr na blaa blaa kama hizo.

Kama unataka kufanya hayo uwe unajua kutafuta pesa kama Samia Ili sekta zingine zisiparalse.Umewahi sikia Samia anatoa visingizio au Kuna sekta imekwama awamu hii?
Kama hutaki SGR kwann hua unapost hapa na unapost ili iweje ?? 🤣🤣🤣 Unaeza post kitu hukipendi??? Na kama JPM bridge hutaki kwann pia hua unapost?? Ww unavituko Sana

Alaf suala la kukatika kwa umeme naomba nikuulize swali Kwann makamba alitolewa kwenye wizara hii kuna shida gani?? Na kwann alitolewa baada ya malalamiko mwingi ya kukatika kwa umeme?? Ajili kichwani😃😃😃😃

Eti ujue kutafuta pesa naenda kasome debt to GDP ratio SASA hvi Tanzania kama hukuzimia😃😃 unafkiri kutafuta pesa mchezo au sio sukari inauzwa kilo 5000 na nchi iko kimya na hakuna anaehoji wala kujibu
 
Kama hutaki SGR kwann hua unapost hapa na unapost ili iweje ?? 🤣🤣🤣 Unaeza post kitu hukipendi??? Na kama JPM bridge hutaki kwann pia hua unapost?? Ww unavituko Sana

Alaf suala la kukatika kwa umeme naomba nikuulize swali Kwann makamba alitolewa kwenye wizara hii kuna shida gani?? Na kwann alitolewa baada ya malalamiko mwingi ya kukatika kwa umeme?? Ajili kichwani😃😃😃😃

Eti ujue kutafuta pesa naenda kasome debt to GDP ratio SASA hvi Tanzania kama hukuzimia😃😃 unafkiri kutafuta pesa mchezo au sio sukari inauzwa kilo 5000 na nchi iko kimya na hakuna anaehoji wala kujibu
Na post Kwa sababu ndio ishajengwa ,ulitaka nisipost? Si unaona inapendeza kwenye picha?

Hizo ni miradi za kupigia picha
 
Na post Kwa sababu ndio ishajengwa ,ulitaka nisipost? Si unaona inapendeza kwenye picha?

Hizo ni miradi za kupigia picha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unapost kitu hukipendi kaaahhh🙌🙌🙌 au kwa vile imejengwa mwanza ingejengwa dar kipumulio chako kisingepumua huwez jua faida ya like daraja mpaka akili yako ikue, mtafute mchumi akueleze faida ya lile daraja alaf uje hapa tuelekezane
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unapost kitu hukipendi kaaahhh🙌🙌🙌 au kwa vile imejengwa mwanza ingejengwa dar kipumulio chako kisingepumua huwez jua faida ya like daraja mpaka akili yako ikue, mtafute mchumi akueleze faida ya lile daraja alaf uje hapa tuelekezane
Ndio humu ni Ligi ya Tzn na Wakunya lazima ni post..

Ila sipendi ni mradi wa kupigia picha hauna maana yeyote Kwa maisha ya watu wa kawaida.

Cosmetic project 😁😁
 
Back
Top Bottom