Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyinyi wapuuzi tutawaburuza kwa miaka mingi sana, wakati sisi tunajipanga na vitu vya umuhimu zaidi na vyenye kujenga uchumi wa kweli kama electrified SGR, bridges, hydroelectric power plant, ships, ports etc nyie bado mpo na vitu vidogovidogo vya kipumbavu na vyenye kunufaisha wakenya wachache kama malls.
Kwa hizo vitu umetaja, what doesn't Kenya have?
 
Homa Bay Pier and Lake Front Rehabilitation

Image
This is same huma bay, that extremely poor place despite the vast waters surrounding the village?
92AFE527-A755-4560-AA51-2E5A6CB66556.png
 
Hilo bwawa ulikuwa hulitaki.
Sitaki Sgr Hadi keshokutwa na sitaki daraja la Magufuli Hadi kaburini ni maamuzi ya kienyeji yasiyo na Tija.

My problem with Bwawa ni kwamba unaanza kujengwa bwawa la Kuchukua miaka Ili likamilike then hapo katikati huandai vyanzo vya mda mfupi vya kuja kukabiliana na demand inayoongezeka unapojemga bwawa then mtu anakuja kusema Samia amesababisha umeme kukatika,ujinga.

Nachoamini big projects hazihitaji rash maana Huwa Zina athari kubwa Kwa sekta zingine.magufuli alisimamisha Kila kitu anasingizia kujenga bwawa sijui Sgr na blaa blaa kama hizo.

Kama unataka kufanya hayo uwe unajua kutafuta pesa kama Samia Ili sekta zingine zisiparalse.Umewahi sikia Samia anatoa visingizio au Kuna sekta imekwama awamu hii?
 
Sitaki Sgr Hadi keshokutwa na sitaki daraja la Magufuli Hadi kaburini ni maamuzi ya kienyeji yasiyo na Tija.

My problem with Bwawa ni kwamba unaanza kujengwa bwawa la Kuchukua miaka Ili likamilike then hapo katikati huandai vyanzo vya mda mfupi vya kuja kukabiliana na demand inayoongezeka unapojemga bwawa then mtu anakuja kusema Samia amesababisha umeme kukatika,ujinga.

Nachoamini big projects hazihitaji rash maana Huwa Zina athari kubwa Kwa sekta zingine.magufuli alisimamisha Kila kitu anasingizia kujenga bwawa sijui Sgr na blaa blaa kama hizo.

Kama unataka kufanya hayo uwe unajua kutafuta pesa kama Samia Ili sekta zingine zisiparalse.Umewahi sikia Samia anatoa visingizio au Kuna sekta imekwama awamu hii?
We jamaa mbona unapendaga kuropoka!?
I do doubt your reasoning capacity.
Daraja la Magufuli la kigogo busisi litasaidia uvushaji wa watu na mizigo kwa zaidi ya umbali wa 30+ kilometa.
Watu ambao walikua wakichelewa shughuli zao kwa kutegemea kivuko kama cha pale Kivukoni Posta.
Imagine sie tunavyosugua benchi wa Kigamboni kuvuka Kivukoni na pale hata kilometa haijafika ila wao 30+ kilometa.
Kuhusu umeme mbona kipindi cha Magufuli ulikua haukatiki??
Ona visingizio mnavyoleta sasa.
-Shughuli za kibinadamu.
-Maji kukauka mabwawani.
-Nguzo kuibiwa.
-Mitambo kuchakaa.
Jamaa hizi sababu mbona kipindi cha Marehemu azikuwepo??
Pia miradi ambayo Magufuli alianzisha mnaimaliza kwa kusuasua na upigaji juu kwa kuongeza sifuri mbele.
JNHPP mlokosea kumaliza mahesabu ni ninyi mloachiwa kijiti.
SGR ina tija na NASHUKURU HUYU MAGUFULI ALIFIKIRIA HILI maana litasaidia katika usafirishaji mizigo ukanda huu kwa uharaka na ufanisi zaidi.
Ukumbuke Uganda kakubali kurudisha usafirishaji mizigo yake kupitia TRC kwasababu ya SGR.
Kuwa na reasoning kuna muda unakera bro unakera sana.
 
We jamaa mbona unapendaga kuropoka!?
I do doubt your reasoning capacity.
Daraja la Magufuli la kigogo busisi litasaidia uvushaji wa watu na mizigo kwa zaidi ya umbali wa 30+ kilometa.
Watu ambao walikua wakichelewa shughuli zao kwa kutegemea kivuko kama cha pale Kivukoni Posta.
Imagine sie tunavyosugua benchi wa Kigamboni kuvuka Kivukoni na pale hata kilometa haijafika ila wao 30+ kilometa.
Kuhusu umeme mbona kipindi cha Magufuli ulikua haukatiki??
Ona visingizio mnavyoleta sasa.
-Shughuli za kibinadamu.
-Maji kukauka mabwawani.
-Nguzo kuibiwa.
-Mitambo kuchakaa.
Jamaa hizi sababu mbona kipindi cha Marehemu azikuwepo??
Pia miradi ambayo Magufuli alianzisha mnaimaliza kwa kusuasua na upigaji juu kwa kuongeza sifuri mbele.
JNHPP mlokosea kumaliza mahesabu ni ninyi mloachiwa kijiti.
SGR ina tija na NASHUKURU HUYU MAGUFULI ALIFIKIRIA HILI maana litasaidia katika usafirishaji mizigo ukanda huu kwa uharaka na ufanisi zaidi.
Ukumbuke Uganda kakubali kurudisha usafirishaji mizigo yake kupitia TRC kwasababu ya SGR.
Kuwa na reasoning kuna muda unakera bro unakera sana.
Kwa kuwa una akili ya kienyeji ndio unaona ni big deal.Hakukuwa na uhitaji wowote wa kiuchumi wa Hilo daraja Kwa Sasa.

Ningekuwa Mimi ningejenga uwanja mkubwa wa Ndege na building terminal nzuri hapo Mwanza na kuweka vivuko vya Kisasa.

Pesa zingine ningetandaza lami za mitaa Jiji Zima Ili kuligeuza kuwa commercial City kweli kweli.

Mwanza ni Moja ya Miji ya hovyo imejaa mavumbi na slums everywhere kama Mbeya ,Hadi Dom imeipita Kwa mbali.

Dar tuu hapo Kuna zaidi ya km 500 za lami zinaendelea Ili kulifanya Jiji Hilo kuwa vibrant City ya biashara na kuondoa Mafuriko ya Kila siku.

Hilo daraja lenu lingekuja baadae sana baada ya Volume ya biashara kuongezeka nk
 
Back
Top Bottom