Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma
IMG_20171127_060737_685.JPG
IMG_20171127_060724_795.JPG
 
Lets remind ourselves, where were we the past Two days??
Yes we Launched the Biggest and Modern Medical university in East and Central Africa, the Mloganzila medical University in DSM
IMG_20170105_175149_750.JPG
IMG_20170105_175132_797.JPG

But this have got a worst competitor,
Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital-Dodoma Launched last year,
I am telling you this hospital is magnificent, the facilities, Human resource and Technology employed in this hospital you won't find it anywhere in East Africa, may be at Jakaya Kikwete Cardiac institute and the Muhimbili orthopedic Institute.

IMG_20171127_060508_154.JPG
IMG_20171127_060450_688.JPG
 
Sijaona kitu cha maana hapo umenionesha😀😀

Huwezi ona cha maana kwa sababu ujamaa imekufunika macho. Kwa mambo ya elimu hata hufai kulingalisha nchi yako na kenya. we are worlds apart when it comes to matters education. Ndo maana hakuna hata siku moja utaona mkenya akija Tanzania kusoma.
 
Huwezi ona cha maana kwa sababu ujamaa imekufunika macho. Kwa mambo ya elimu hata hufai kulingalisha nchi yako na kenya. we are worlds apart when it comes to matters education. Ndo maana hakuna hata siku moja utaona mkenya akija Tanzania kusoma.
Sasa wewe umesoma usha fanya nini na kikatambulika World wide au umesoma ili kuendana na hali mliyo pangiwa na mzungu acha kujisifu upumbavu hakuna nchi ambayo akuna wasomi na sisi watanzania sio wapumbavu kama nyio huko kenya huku kila mtu ana ulelewa wa amboyo hata huko hamyajui
 
Sasa wewe umesoma usha fanya nini na kikatambulika World wide au umesoma ili kuendana na hali mliyo pangiwa na mzungu acha kujisifu upumbavu hakuna nchi ambayo akuna wasomi na sisi watanzania sio wapumbavu kama nyio huko kenya huku kila mtu ana ulelewa wa amboyo hata huko hamyajui

Sikusoma ili nije hapa nitangazie ulimwengu mzima nilivyo msomi wala ili kuridhisha mtu yeyote ulivokusudia hapa. soma pages za nyuma hapo utaelewa ni kwa nini mambo ya elimu tukazungumzia. Otherwise punguza hasira
 

Nani alikudanganya kwamba hii hapa ni Dodoma. My friend this is Greenpark estate in Athi River, Kajiado County in Kenya. I have been here personally so I know the place very well. Halafu nyinyi ndo husema vile wakenya ni watu wa kupika data! Jiengalie sasa. Toa hii picha kwa list ya Dodoma tafadhali
 
Sikusoma ili nije hapa nitangazie ulimwengu mzima nilivyo msomi wala ili kuridhisha mtu yeyote ulivokusudia hapa. soma pages za nyuma hapo utaelewa ni kwa nini mambo ya elimu tukazungumzia. Otherwise punguza hasira
Kama kweli unajua elimu ni siri sasa why umuhukumu mwenzio je kwake sio siri
 
Nani alikudanganya kwamba hii hapa ni Dodoma. My friend this is Greenpark estate in Athi River, Kajiado County in Kenya. I have been here personally so I know the place very well. Halafu nyinyi ndo husema vile wakenya ni watu wa kupika data! Jiengalie sasa. Toa hii picha kwa list ya Dodoma tafadhali
Hilo ni bunge la Tanzania
 
Kama kweli unajua elimu ni siri sasa why umuhukumu mwenzio je kwake sio siri

Ni mara ngapi hapa watanzania wenzako wamesema vile elimu ya Kenya haijasaidia wakenya? acha maswali mingi...labda umweleze mwenzako ichoboy jinsi ya kufanya mjadala kwa sababu yeye anapinga hoja bila kuleta convincing arguments. mwishowe anaitisha link akipewa anayadharau. pitia pages za zuma utaelewa. wakati swala la kidney transplant ilipochipuka
 
Back
Top Bottom