Sijakuuliza unionyeshe nyumba za mbagala, nimekuuliza unionyeshe nyumba inayofanana na zile nikipost kidesign. Tumia akiliMbagala kuna macribs huwezi yapata sehemu yoyote naislum, landscaping, leafy na sio hizo slums zenu zipo congested sababu mzungu ameiba ardhi yote na hamna la kumfanya
View attachment 2912062View attachment 2912066View attachment 2912069View attachment 2912072View attachment 2912076
Nyumba za mbagala hizo Onesha kama kuna eneo huko naislum kibera, mathare, mukulu kayaba, kwa reuben, lina nyumba kama hiyoTanzanians always have bad taste. Yeye hiyo nyumba amepost hapo juu ndio poa kwake.
Unajiaibisha maanake hiyo ni ishara ya lack of planning. Yani nyumba zinajengwa tu polite, katikati ya slum Kuna mansion. Ndio maana hadi mitaa yenu ya kifahari kama mbezi inakaa slums maanake hakuna zoning.Nyumba za mbagala hizo Onesha kama kuna eneo huko naislum kibera, mathare, mukulu kayaba, kwa reuben, lina nyumba kama hiyo
Uko sure unataka nyumba za Kibera? Hutaanz kulia hapa?Nyumba za mbagala hizo Onesha kama kuna eneo huko naislum kibera, mathare, mukulu kayaba, kwa reuben, lina nyumba kama hiyo
Leta cribs za kiberaUko sure unataka nyumba za Kibera? Hutaanz kulia hapa?
Asante kwa kukubali ni mansions built politely, case closed 😂😂😂Unajiaibisha maanake hiyo ni ishara ya lack of planning. Yani nyumba zinajengwa tu polite, katikati ya slum Kuna mansion. Ndio maana hadi mitaa yenu ya kifahari kama mbezi inakaa slums maanake hakuna zoning.
Sahizi the real action is in the villages.....Serenity at best View attachment 2912105
Hiyo roofing style ni ya Tanzania kabisa, nashangaa hamueleweki mara mnaiponda mara mnaiappreciate kimtindo 😂😂Sahizi the real action is in the villages.....Serenity at best View attachment 2912105
Umebadilisha mjadala Hadi umefika penye unapost nyumba tuprove kama ni mansion ama sii mansion? Wabongolala ni wajinga.🤣🤣Asante kwa kukubali ni mansions built politely, case closed 😂😂😂
Ati ya Tanzania. 🤣🤣🤣Hiyo roofing style ni ya Tanzania kabisa, nashangaa hamueleweki mara mnaiponda mara mnaiappreciate kimtindo 😂😂
Haya hii ndio mansion 😂😂😂Umebadilisha mjadala Hadi umefika penye unapost nyumba tuprove kama ni mansion ama sii mansion? Wabongolala ni wajinga.🤣🤣
Hvi Kati ya Sisi na nyinyi Nani mwenye mikakati madhubuti ya umeme?? Sisi tunajengwa bwawa la umeme kubwa east and central Africa na mwaka huu linaanza kazi haya tueleze nyinyi muna mikakati ganiWe are not denying the power issues my friend we have issues as well but not as much as you guys, I was staying at some hotel in Dar and there was Power loss a couple of times the few days i was there(despite it being a big hotel).
Do you however admit that you have power issues?
Mama ngina fact or??😁😁😁😁
Nyumba zilizopo Nairobi vijijini hazitii mguu kwa zile zilizopo bukoba vijijiniSahizi the real action is in the villages.....Serenity at best View attachment 2912105
Kunyaland wapo stagnant hawana upcoming middle class suburbs anymore, wapo wanategemea rentals za foreigners 😂😂
View: https://youtu.be/U0LiroULt0w?si=epFpfD-ijksEfGOI