NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,038
- 19,223
Shida yenu mmezoea zile dreamhouses zenu za Tandale for a very long time sahii vile mmeanza kujifunza real estate kidogo mnaona Ni miujiza. Yani 300 houses ndio kitu kinakutia kiburi hivi?🤣🤣🤣 That is a very normal thing in Kenya bro. See this small girl here built 200 houses in Kitengela all by herself. Kumbuka hizo ni mansions, sio vijumba vidogo kama hivyo ulivyopost. Na hapa tunaongelea tu msichana mdogo, hata hatujaguza mabigwigs wa real estate hapa Kenya.Mkundustan hawezi kujenga contemporary homes 300 kwenye 1 acre of land each house hata siku 1 sababu ardhi yote inamilikiwa na mzungu, ndio maana wamebaki kujenga vertical slums kama pipeline ambazo kila leo zinawaangukia
View attachment 2911353
View: https://youtu.be/TPeLQigTsFM?si=59iSp4FAhbbk43AK