Asanti sana kwa kukubali Mbweni na Bunju hakuna mall hata moja. π π πSupermarket zipo kibao mbweni na bunju, au ww umeaminishwa sehemu kwenye mall ndio maendeleo ππππ
mall Inajengwa kunduchi tena kubwa Sana ya kisasa na na karibu na bunju au mbweni ww ulikua unatakaje