Sasa huu ndio ushahid wako kwamba nyie mnazalisha ngano.? 🤣🤣🤣🤣 Mpumbavu sana wewe, kichwa cha hiyo graph yako kinazungumza "Africa's wheat import dependency from Russia or Ukraine" kwahyo hiyo graph inaeleza kwamba nyie mnatuzidi kwa kufanya import not otherwise wise, hiyo maneno ya kusema mnatuzidi uzailishaji umetoa wapi.? 🤣🤣🤣 We unadhani sisi tunategemea kupata ngano kutoka ulaya tu.? Sisi tunalima ngano kichaa wewe. Kuhusu habari za kilimo labda mnatuzidi kwenye maua tu (kwa hisani ya Mzungu) 🤣🤣