ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Sisi tunaongoza Kwa Demokrasia 🤣🤣🤣🤣👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C3e4HLCobqm/?igsh=MXJ3cnM2MndsODYwdQ==
Sisi tunaongoza Kwa Demokrasia 🤣🤣🤣🤣👇👇
Sanamu la Nyerere Kuzinduliwa Kesho huko AU HQ
View: https://www.instagram.com/p/C3dnxJzqvgk/?igsh=MWtydXE4MmNqN2kyZA==
Anae na ana Watoto wakubwa kuzidi wewe.Nina swali, mama yenu ana bwana au watoto? Na huyo bwanake ni nani
Smocha is short for Chapo smokieNairobi Street Food 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
- Chipo Mwitu
- Chapo Smokie
- Mutura
- Mayai Pasua
- Smokie Pasua
- Mahindi Choma
- Mahindi Chemsha
- Bhajia
- Viazi Karai
- Njugu Karanga
- Samosa (Sambusa)
- Mshikaki
- Virenjee
- Nyama Choma
- Kenyan Kebab
- Chapati
- Sim-sim
- Sukari-Nguru
- Mabuyu
![]()
15 Popular Kenyan Street Foods Compilation in Nairobi
This list is a collection of the fifteen iconic Kenyan street food delights that you definitely must try. While the list may not be comprehensive to the core, the 15 listings are what define and shape…toasterding.com
Unasemaje una higher purchasing power ilhali kwenu kuna higher inflation rate na hata hela ya unga inawashinda kumudu???
Purchasing power ni uwezo wa pesa yako kununua kwa ujazo kijana.
Kenya ushuru wenu ama kodi zenu zinafanana na sisi???
Mie hapa bongo naweza kujenga nyumba ya ghorofa mbili kwa 100k$ dollars na chenji ikambaki ambayo sawa na 240 millions Tsh.
Je kwa hiyo 100k$ dollar unao uwezo wa kujenga ghorofa 2 bungalow kama Tz kwa ubora ule ule????
Embu nijibu hapo kwanza.
Ukitoa foreign investments nyie mnabaki na nini.? 🤣🤣🤣 Kwasababu hadi gorofa zenye mnapost kila siku ni za wazungu. 🤣🤣🤣🤣hadi mashamba ya maua na chaihawana pesa hao......Ukitoa Mali ya Mo Dewji na Bakhresa GDP yao inachezea 30 hapo
Ni dessertThis food is 50 bob kama sijakosea. Mnakula vitu cheap sana.
Hiyo chips ni chips mwitu tukianzia hapo. Bei is around Ksh 20 bob huku Kenya.
Mtura pia ni 20 bob, si ungenunua mtura full ukule ushibe😂😂
Anae na ana Watoto wakubwa kuzidi wewe.
Hata angekuwa hana,Hatuwezi kubali nyang'au awe mume wa Rais Wetu 🤣🤣
In honour of Tanzania and Mwl.Nyerere👇👇
View: https://www.youtube.com/live/hHxslGxMuz0?si=HJPycD6ebjRLxqWq
Kheri yetu twajenga vyetu kivyetu vyetu.Hizi ndio huwa mnangoja. Kujengewa na organization ama government. Mtanzania wa kawaida amesota hata kujenga gorofa ya 4floors ni shida.
We mpumbavu hizi organization zikijenga Kenya mnakuja hapa kupanua midomo kwamba ooh nyie mko na international influence lakini tujinga sisi imekua nongwa 🤣🤣🤣Hizi ndio huwa mnangoja. Kujengewa na organization ama government. Mtanzania wa kawaida amesota hata kujenga gorofa ya 4floors ni shida.
Si kama spring rolls sema kienyeji, zipo kila mahali tzSmocha is short for Chapo smokie
Nina swali, mama yenu ana bwana au watoto? Na huyo bwanake ni nani
Kenya is a top 10 wheat producer in Africa. Nimewaambia mukipata any data that shows Tangagiza produces more wheat than Kenya nitafunga hii account sahii.We jamaa usitudanganye.
HIYO CHART ULIOLETA INAELEZEA UAGIZAJI WA NGANO SIO UZALISHAJI WA NGANO.
TANZANIA TUNALIMA NGANO PIA KASKAZINI NA PIA TUNAAGIZA ILA HATUAGIZI KWA WINGI KWASABABU TUNAZALISHA PIA.
NINYI MNAAGIZA KWA WINGI HAMZALISHI
Umia Zaidi🤣🤣 kitu inayodondoshwa hapo ni hii 👇Hizi ndio huwa mnangoja. Kujengewa na organization ama government. Mtanzania wa kawaida amesota hata kujenga gorofa ya 4floors ni shida.
In fact that was 2023 when our inflation was high, sahii hata bei zimeshuka zaidii.Unaleta vitu vya Easter offer ya 2000s 😂😂😂