Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mandela anapewa heshima ambayo haimstahili kabisa ila ni wazungu ndio wanamhype sababu aliwafavor sana, Nyerere alitakiwa kuwa famous zaidi ya Mandela at least saivi ndio wanajua though wamechelewa na wanaenda taratibu


View: https://twitter.com/GovernmentZA/status/1759196730120118311?t=7OgylvyVr8M--oUTDjCpjA&s=19

Palipo na ukweli uongo hujitenga, Nyerere lazima apate anachostahili, ana makosa yake ya kibinadamu lkn mazuri aliyoyafanya ni mengi kuliko watakatifu wengi tu waliopita duniani, ni kama Magufuli, muda wake pia wa kuheshimika utafika na atapata stahiki yake.
 
Mimi nikiwa porini alafu akatokea simba na mkenya naanza kuuwa mkenya alafu simba tutajuana baadae.
Kuna jamaa alikuwa Mbunge huko kenya anaitwa Samuel Arama aka Mzungu wa Nakuru

1708267124039.png
 
Kama nchi ina watu wengi PPP yao inakua kubwa, ndio maana china inaizidi US in terms of PPP, ila sio index nzuri. Mi nadhani index nzuri ni quality of life kama nchi za brunei, qatar
Mbona Nigeria wapo wengi na ppp yao ni the lowest in the world.
 
Tunazidi kupata proof kuwa wakenya hawana akili. Azam Channels zinakuwa watched kupitia TV na wakenya wananunua decoder. Hii youtube ni highlight tu. Au hujui hilo?

TANZANIA inazidi kuiweka mfukoni KENYA.
Siku Azam itafikia Zuku kuja tuongee.
 
Watching TV through decoder is a business. Au hujui? 🤣 🤣 🤣 🤣
Rudi shule ukasome Business Administration courses.
Au endelea kutibu wagonjwa walikula Mutura hapo Nairobi
I scored A in Business and you can't tell me anything kuhusu Business courses.

Can you tell me the number of Azam decoder present in Kenya please? Na kama huna uende ucheze na mamako.
 
Kwa akili zako mbovu unadhani tunangoja mtu? Hao watakuja pekee yao. In Kenya we do things with plans,

we started with horizontal infrastructure and as you can see the horizontal infrastructure is way better than anything in Tanzania. Infact Dunia itaisha before anywhere in Tanzania ikuwe na the half the quality level of horizontal infrastructure in Konza.

Since now horizontal infrastructure is over, we will be doing vertical infrastructure, I promise you this time round mtachimba Magufuli from his grave to witness great things happening in Konza.
Wewe kweli ni mnuka mavi jamaa angu 😂😂😂 hiyo sentence yako hapo niliyoikoleza/koza Maana yajke ndio "kungoja".


Kuhusu hizo barabara za konza ni upuuzi, Avic town is way better 😂😂😂😂
Keep waiting wazungu wakuje wajenge, taifa la vilaza
 
Wewe kweli ni mnuka mavi jamaa angu 😂😂😂 hiyo sentence yako hapo niliyoikoleza/koza Maana yajke ndio "kungoja".
I know I'm dealing with an idiot. Ushaiskia that phrase which usually says "Built and they will come"?

Najua hujaiskia something like that cause utaiskia saa ngapi na uuze peremende na dawa za kunguni saa ngapi. I even don't know why I'm waisting my time arguing with a hawker.
 
Back
Top Bottom