Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wheat Flour Cost 1Kg
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039 Usd

1kg in Kenya is 130Ksh = 0.923Usd
1kg in Tanzania is 1500Tsh = 0.585 USD

Tanzania watu wanakula chapati kwa bei ndogo sana ukilinganisha na hapo kenya.

Let go beyond of that. Let consider 1tone of Wheat flour.

in Kenya will be 0.923 x 1,000 = 923 usd
in Tanzania will be 0.585 x 1,000 = 585 usd.

Ukiwa na $923 hapa Tanzania unanunua 1 tone of Wheat flour na unapata change ya $338

Bado huelewi?
 
Wheat Flour Cost 1Kg
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039 Usd

1kg in Kenya is 130Ksh = 0.923Usd
1kg in Tanzania is 1500Tsh = 0.585 USD

Tanzania watu wanakula chapati kwa bei ndogo sana ukilinganisha na hapo kenya.

Let go beyond of that. Let consider 1tone of Wheat flour.

in Kenya will be 0.923 x 1,000 = 923 usd
in Tanzania will be 0.585 x 1,000 = 585 usd.

Ukiwa na $923 hapa Tanzania unanunua 1 tone of Wheat flour na unapata change ya $338

Bado huelewi?
Shida ni elimu yao mkuu.
 
Haya kapike najua unatumia mshumaa kwa kuwa umeme umekatwa 😂. Ukimaliza uangalie hii picha kisha ujiambie kimoyomoyo "Kenyan shilling has a higher Purchasing Power than the Tanzanian shilling"

View attachment 2907283
Unasemaje una higher purchasing power ilhali kwenu kuna higher inflation rate na hata hela ya unga inawashinda kumudu???
Purchasing power ni uwezo wa pesa yako kununua kwa ujazo kijana.
Kenya ushuru wenu ama kodi zenu zinafanana na sisi???
Mie hapa bongo naweza kujenga nyumba ya ghorofa mbili kwa 100k$ dollars na chenji ikambaki ambayo sawa na 240 millions Tsh.
Je kwa hiyo 100k$ dollar unao uwezo wa kujenga ghorofa 2 bungalow kama Tz kwa ubora ule ule????
Embu nijibu hapo kwanza.
 
What can 200 Tanzanian shillings (Currency A) buy? In Kenya, 200 Kenyan shillings (Currency B) can buy a packet of Unga. You will need more of Currency A to buy the same packet of unga in Tanzania, kwa hivyo your currency is the one with a weaker Purchasing Power. Kumbuka tunalinganisha Purchasing Power between Kenya Shilling and Tanzanian Shilling. 200 shillings of KES have more value and higher Purchasing Power than 200 shillings of TZS
Why are you arbitrarily choosing amount of money for the two currencies instead of the price of a product? Hiyo ni economics ya wapi Mukuru kwa Njenga ama?. Kila data lazima iwe na reference.
 
Haya kapike najua unatumia mshumaa kwa kuwa umeme umekatwa 😂. Ukimaliza uangalie hii picha kisha ujiambie kimoyomoyo "Kenyan shilling has a higher Purchasing Power than the Tanzanian shilling"

View attachment 2907283
A 3 bedroom bungalow in Kenya is sold by 10 mils Ksh sawa na 170milions Tsh sawa na 70k $.
Tanzania 3 bedroom bungalow inauzwa kwa 50milions Tsh sawa na 23K $ sawa na 3 milion Ksh kama sijakosea.
Yani kwa pesa ya kununua bungalow ya vyumba vitatu Kenya najenga nyumba sawa na hizo bungalow kama tatu hapa Tanzania kwa ubora ule ule.
Hapo unazungumziaje???.
Wapi purchasing power yake ina nguvu katika manunuzi na inanunua zaidi??
 

Condom Rough Rider​

Rate
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039 Usd

In Kenya KSh 430 = 3.053 usd
in Tanzania Tsh 4,000 = 1.56 usd

Proof:


1708199338322.png

Ukiongeza na Tax hapo mzee 🤣 🤣 🤣 🤣

TZ
1708199393508.png
 

Condom Rough Rider​

Rate
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039 Usd

In Kenya KSh 430 = 3.053 usd
in Tanzania Tsh 4,000 = 1.56 usd

Proof:


View attachment 2907378
Ukiongeza na Tax hapo mzee 🤣 🤣 🤣 🤣

TZ
View attachment 2907380
Hicho nilijaribu kukieleza ila doh hawakuelewa na mifano ya mpaka unga wa ngano na sembe nilitoa.
Shida hako kajamaa sijui kastudent cha elementary school!
Kana mihemko na kanajibu kwa pupa pasi na kusoma hata anachokileta .
 
A 3 bedroom bungalow in Kenya is sold by 10 mils Ksh sawa na 170milions Tsh sawa na 70k $.
Tanzania 3 bedroom bungalow inauzwa kwa 50milions Tsh sawa na 23K $ sawa na 3 milion Ksh kama sijakosea.
Yani kwa pesa ya kununua bungalow ya vyumba vitatu Kenya najenga nyumba sawa na hizo bungalow kama tatu hapa Tanzania kwa ubora ule ule.
Hapo unazungumziaje???.
Wapi purchasing power yake ina nguvu katika manunuzi na inanunua zaidi??
Kiongozi huu mjadala tuuache maana sio kama hawajui ila hawa ni die hard patriots for their country.
 
Hicho nilijaribu kukieleza ila doh hawakuelewa na mifano ya mpaka unga wa ngano na sembe nilitoa.
Shida hako kajamaa sijui kastudent cha elementary school!
Kana mihemko na kanajibu kwa pupa pasi na kusoma hata anachokileta .
Condom tu mzee unakamuliwa 🤣 🤣 🤣 Ngoja tuangalie bei za Guest za kawaida huko Nairobi ni how much
 
Let start calculate PPP product after product. We put USD as a common currency.
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039

Start with Corn Flour
Price in Tanzania is Tsh 1,200/Kg = 0.468 Usd/kg
Price in Kenya Ksh 115/Kg = 0.8165USD/Kg

Tell me now.
0.8165USD can buy almost 2kg of flour in Tanzania but if you have
0.468usd you can't afford to buy 1kg of flour in Kenya.

This is how PPP calculated.

So mwananchi wa kenya itamlazimu apambane sana kupa just 1kg of unga. But here in Tanzania Ùnga wa ugali is nut luxury. But in Kenya is a luxury.
Na Chapati ni Luxury
 
Wheat Flour Cost 1Kg
1 Ksh = 0.0071 USD
1 Tsh = 0.00039 Usd

1kg in Kenya is 130Ksh = 0.923Usd
1kg in Tanzania is 1500Tsh = 0.585 USD

Tanzania watu wanakula chapati kwa bei ndogo sana ukilinganisha na hapo kenya.

Let go beyond of that. Let consider 1tone of Wheat flour.

in Kenya will be 0.923 x 1,000 = 923 usd
in Tanzania will be 0.585 x 1,000 = 585 usd.

Ukiwa na $923 hapa Tanzania unanunua 1 tone of Wheat flour na unapata change ya $338

Bado huelewi?
Kenya

Wana Purchasing power ndogo sana

Nilijifunza hapa kwenye Chapati... yaani chapati na nyama ya 100 bob binadamu hawezi kula ila wanakula
 
Back
Top Bottom