Kwan kuwa na loans ni kitu kibaya? Loans are for private and business development.
Hizi loans zenyewe hapa chin kama si limit ya serikali ya 1/3 kwenye account yangu ya mshahara ningechukua loans nyingine ili wazisombe zote mana sina matumiz nazo sana (mwanzo nilianza na NMB, sasa ninaelekea kuumaliza, nimeongeza na CRDB juzijuzi).
Kwangu mshahara sio muhimu mana nina acc nyingine ya biashara na position duni niliyonayo ina posho nyingi sana
View attachment 2900501
View attachment 2900503
Kuhusu hii mishahara, nina miaka almost 6 serikalin, na bado kuna cheo nakisubiria cha kumfanya maamuz ya kumuharibia mama kipenz cha
ChoiceVariable 😎😃 (joke)