Kama Pretoria mwanangu ❤️❤️😘😘😍🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mtu mwenye pesa hana maelezo mengi. Unajieleza sana, hii tu inaonesha huna pesa wewe.Si unateseka kijana. I said my salary is more than 3M Tanzanian shillings and yes the 14M Tanzanian shillings unaona in that Bank Statement is inclusive of my salary.
So just know that whatever I posted is my salary of two months. Ama ulitaka niwaambie the exact figure of my salary?😂😂
Kama Massachusetts mwanangu ❤️❤️😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Akili zao kama za Raisi wao, tuko 2024 Ruto anatumia data za 2015 kuiongelea TZ
View: https://www.youtube.com/watch?v=JlF-DBY0jkM
Hayo matumizi huwa wanatumia wapi?Tz ni wanagenerate 1889MW ,Available 1200MW ,demand 1430MW...tunauhaba wa 230MW kwa sasa...ila tumeelekezwa kua Nyerere Hyro electric Dam itatuongezea 2115MW ...So kama kila kitu kitaenda sawa mwaka huu tunapindua meza...labda mtatuzidi kwenye matumizi sio uzalishaji
Good morning to all the Tanzanian dunderheads in the buildings.Unaita The best 007 dunderhead wakati wewe ndo dunderhead!
Angalau sasa unafahamu maana ya credited and debited kwenye account, Pongezi kwa Babayao255 na Google.
View attachment 2900382
Thank you tuusan, you are the only reasonable Tanzanian here.Tz ni wanagenerate 1889MW ,Available 1200MW ,demand 1430MW...tunauhaba wa 230MW kwa sasa...ila tumeelekezwa kua Nyerere Hyro electric Dam itatuongezea 2115MW ...So kama kila kitu kitaenda sawa mwaka huu tunapindua meza...labda mtatuzidi kwenye matumizi sio uzalishaji
Lazima nijieleze and I can explain till 2030. As long as they are mine and I worked for them lazima niongeze. Mnauziwa akili kweli kweli 😂.,
Mtu mwenye pesa hana maelezo mengi. Unajieleza sana, hii tu inaonesha huna pesa wewe.
What work do you do? Ama wewe ni jobless unakesha JF 24/7?,
Mtu mwenye pesa hana maelezo mengi. Unajieleza sana, hii tu inaonesha huna pesa wewe.
Nini hiki umeandika hapa! 🤮🤮🤮Good morning to all the Tanzanian dunderheads in the buildings.
For your information if you take a loan and that loan is directed into your account, it's said that your account is credited with a loan from so and so. Again why were you so angry when I said that unatuonyesha loans😂😂😂
Wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjinga.Niliambia babayao255 ati yeye Ako na loans credited into his account akakasirika kweli kweli, sijui ni nini ilimkasirisha 😂😂😂.
Because of the anger I'm now sure your chest is filled with loans.
View attachment 2900473
Yani siamini kama jamaa hana anachokijua kuhusiana na mambo ya bank account 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nini hiki umeandika hapa! 🤮🤮🤮
Pesa ni vitendo siyo maneno matupu.Lazima nijieleze and I can explain till 2030. As long as they are mine and I worked for them lazima niongeze. Mnauziwa akili kweli kweli 😂.
Hii ukali Yako yote I guess ni ya loan😂😂😂Wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjinga.
View attachment 2900488