Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna unalofuatilia.
Mathalan mkoa wa Morogoro tu vijijini kuna barabara mbovu tena zilikua zinaanza kujengwa ila zimekwama njiani tokea 2021.
Vifuatilie vijiji kama Mkuyuni,Kisaki,Matombo na Mvuha.
Yaani Wakati Bajeti ya Tarura ni bil.272 (2015-2020) Barabara zilikuwa imara ila wakati Bajeti ni Bil.800(2021 to date) plus Barabara zikaharibika 😁😁😁😁

Acha vichekesho wewe,hata hivyo pamoja na Bajeti kuongezewa na Mama 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/CzWGAW8Iwdv/?igsh=MWJwbzBhM2tvc2xldg==
 
Ni sawa zikifutwa maana zimefutwa huko zimeongezwa kwenye kodi ya jengo na kwenye miamala ya simu 😁😁😁😁😁

Yani unatoa pesa mfuko huu unaweka mfuko huu ili mfuko mwengine usionekane na pesa
Kodi ya jengo ilikuwepo siku zote,tulikuwa tunapanga foleni kulipa Sasa imehamishiwa Tanesco.

Au huna nyumba au nyie ndio mafisadi mnakwepo Kodi?

😁😁😁😁Hapo vipi? 👇👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1755565289213710459?t=t4ClP44TbkSfp6dtc5VB6w&s=19
 
What if TPDF have this:-
10 Shenyang J-16
1707396648972.png
 
Namba 3 haipo na kama ipo uwe unataja eneo specific,Kuna Kodi za Halmashauri na Kodi za Serikali Kupitia TRA.

Tozo za miamala zimesalia kwa.kundi la watu wanaofanya volume.kubwa ya transanctions na ambao ni wachache ,mama alifuta Kwa viwango vidogo ndio maana husikii Makelele kutoka Kwa watu au kampuni za simu.

Tozo zilizofutwa hizi hapa 👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1751915498470547477?t=LXrzR5OgKLs-NCML2TqyLA&s=19

Kiufupi kwenye Kilimo zimefutwa na kupunguziwa Kodi nyingi,Mimi Niko kwenye Kilimo najua,sijasema zimeisha maana ziliwekwa hapo Kwa miaka Mingi sana.

Hiyo ni kufuta ama kupunguza??
Amepunguza sio kufuta.
No.3 bado ipo,unatofautishaje kodi za halmashauri na serikali??
Kwani halmashauri sio serikali??
Pesa zinazokusanywa na halmashauri zinaenda wapi kama sio TRA chombo kikuu cha ukusanyaji mapato??
Pita Morogoro uingie vijiji vya kuelekea Matombo kuanzia njia ya pale Luolole hadi gunia la pilipili unalipia ushuru.
 
Yaani Wakati Bajeti ya Tarura ni bil.272 (2015-2020) Barabara zilikuwa imara ila wakati Bajeti ni Bil.800(2021 to date) plus Barabara zikaharibika 😁😁😁😁

Acha vichekesho wewe,hata hivyo pamoja na Bajeti kuongezewa na Mama 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/CzWGAW8Iwdv/?igsh=MWJwbzBhM2tvc2xldg==

Unataja sehemu moja moja ilhali takriban 60-70% ya barabara Morogoro vijijini hazipitiki??
Are you damn serious!?
Pita kuanzia Kiroka kuja mpaka Kisaki kutokea mpaka Tosamaganga kote barabara hovyo.
Kuja kuanzia Merera mpaka kuingia karibia na uwanda wa mikumi kote barabara tope.
Unakuja kuniletea ujenzi wa kidaraja kimoja.
We kweli punguani
 
Acha kuongea mambo ya Jumla Jumla ,wapi huko ambako wametapanya pesa? Mbona Hospital kibao hazikukamilishwa na awamu ya 5,Mama amezimaliza?

Kwani kutokamilika Kwa mradi ni ajabu? Hii hapa Ilianza kujengwa awamu ya 5 na haikukamikika ndani ya miaka 5 na Ujenzi unaendelea hata Sasa 👇

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1755512558788755669?t=afLadV-S-zVSZuhNUhnMqw&s=19

Ndio maana nasema hauna exposure na mambo mengi.
Nimekuambia kuna hospitali wakurugenzi wa hizo halmashauri walikamatwa kwa kutapanya pesa na hospitali hazikukamilika je unazijua????
 
Unataja sehemu moja moja ilhali takriban 60-70% ya barabara Morogoro vijijini hazipitiki??
Are you damn serious!?
Pita kuanzua Kiroka kuja mpaka Kisaki kutokea mpaka Tosamaganga kote barabara hovyo.
Kuja kuanzia Merera mpaka kuingia karibia na uwanda wa mikumi kote barabara tope.
Unakuja kuniletea ujenzi wa kidaraja kimoja.
We kweli punguani
Kama hazipitika Kwa Sasa hakuna Cha kushangaza maana kuanzia Moro,Dar,Pwani kote huko mwaka huu Mafuriko yameziharibu na wewe unajua.

Barabara za vumbi sio lami kwamba zinaweza himili mvua nyingi za Mafuriko.

So Hakuna Cha kushangaza,wewe subiria mvua zikate mwezi May urejeshaji miundombinu ufanyike.
 
Kama hazipitika Kwa Sasa hakuna Cha kushangaza maana kuanzia Moro,Dar,Pwani kote huko mwaka huu Mafuriko yameziharibu na wewe unajua.

Barabara za vumbi sio lami kwamba zinaweza himili mvua nyingi za Mafuriko.

So Hakuna Cha kushangaza,wewe subiria mvua zikate mwezi May urejeshaji miundombinu ufanyike.
Unajua kwanini hazipitiki???
Au hujasoma maelezo yangu kwa umakini?
 
Back
Top Bottom