Ni vichache sana na ndio maana Ile porojo ya viwanda haikusikika mdomoni mwa Jiwe kwenye uchaguzi Mkuu 2020.
Vyerehani sio viwanda Mzee.Expansion ya baishara Kwa Sasa ni kubwa kuliko kawaida na ni sekta zote sio kama Jiwe alikuwa analeta visingizio vya kujenga Sgr na sekta zingine zikawa dormant.
Commitment ya investors kama hii ya awamu ya 6 haijawahi tokea popote hapa Tanzania,👇👇
View: https://twitter.com/InvestTanzania/status/1753704190247944668?t=Zn5K7QN0jjpitvXbSlDf0g&s=19
Una uhakika hivyo viwanda ni ufunguzi wa cherehani??
Yani wafanya biashara wadogo wadogo nao wameanza kulalamika kwa tozo zisizo na msingi we unasema expansion ni kila kona???
Expansion labda ya tozo na ukatikaji wa umeme mkisingizia nguzo kuibiwa.
Nakuletea list ya viwanda vingine usiondoke .