Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unakuanga pumbavu kweli. 😂 😂 😂 Kuna tofauti ya SPECT/CT na SPECT.

Unakuanga pumbavu, hujawai soma ukaelewa kitu since you joined this forum. We hukimbia tu kureply ndio maana majibu zako hua biased na za kipumbavu.😂😂😂 SPECT na SPECT/CT ni vitu viwili tofauti. SPECT/CT ni combination ya SPECT na CT scan on a single machine. Machine ya SPECT/CT installed at KUTRRH uses the latest technology equipped with a special camera used for producing clear 3D digital images.


Umetafuta SPECT/CT Scan bongolala nzima ukakosa ukaanza kujijazia PET/CT is better than SPECT/CT ju bongoslum hakuna hata moja. The reason why KUTRRH is the best Cancer hospital in the the region ni ju ina vifaa vingi vya kutibu cancer. Cancer ni ugonjwa inahitaji very high precision ku diagnose, thats why hizi machines zote zinatumika ju kila machine ikona advantage na disadvantage zake.

Pitia hapa upunguze upumbavu plus utaona machines zingine huwezi kupata bongoslum.👇👇👇


View attachment 2890286View attachment 2890287
We jamaa ni mbishi!!
PET/CT ndio kifaa bora huhitaji kuwa na vifaa vingine kama una hicho katika diagnosis.
Maana hiko hupima kwa usahihi zaidi .
Ni sawa ukiwa na mfumo wa full blood picture diagnosis/hematology analyzer huhitaji kuwa na electron microscope wala light microscope wala aina zingine za microscope.
Punguza u much know.
Na hizo PEC ndizo zilizofungwa ocean road hospital.
 
We jamaa ni mbishi!!
PET/CT ndio kifaa bora huhitaji kuwa na vifaa vingine kama una hicho katika diagnosis.
Maana hiko hupima kwa usahihi zaidi .
Ni sawa ukiwa na mfumo wa full blood picture diagnosis/hematology analyzer huhitaji kuwa na electron microscope wala light microscope wala aina zingine za microscope.
Punguza u much know.
Wabongo munapenda kubaki nyuma sana wakati dunia inabadilika kwa kasi. New technologies zinatokea kila siku lakini kama kawaida munabaki nyuma ju akili zenu za kijamaa zinafanya muwe slow. Kitambo diagnosis ya SPECT CT ilikua inatumia machine mbili, moja ya SPECT na nyingine ya CT scan. Kwa sasa teknolojia imebadilika na kampuni kama General Electric inatengeneza machine ya hybrid SPECT/CT ambayo imeunganisha machine zote mbili kua kitu kimoja kama machine za PET/CT. Soma hapa abstract ya mtalaamu ujue advantages za SPECT/CT kwa dunia ya sasa.

Screenshot 2024-02-01 011302.jpg

 
Kunyaland Pamoja na kuona English ni sehemu ya Mila na asili yao lakini hakuna Mkunya aliewahi kufika hii rank ya huyu Mbongo kwenye kushika delicate and sensitive position kama hii kwenye serikali ya Taifa kubwa kama Uingereza, Kunyalanders wanaishiaga kuwa mahustlers gulf 🤣


View: https://youtu.be/vANAQ4mH9_8?si=ndGJxk1Lz3O_kjxG
 
Kunyaland kuna kipindi walikuja na slogan yao ya build ushagoo humu nikawa nawacheka tu, walikua wanaweka mpaka pictures za wizi kutoka nchi nyingine ikiwemo Tanzania wakifikiri ni milage kubwa wameipita Tanzania 😂😂😂 kumbe ni ulimbukeni wao na village mentality wakifikiri dunia is only revolving in Kunyaland kumbe kujenga vijijini ni utamaduni wa Tanzania toka enzi hizo, huwezi kupata village kama hivi Kunyaland 1500km from Dar


View: https://youtu.be/4QldsKPz_1s?si=Xdf93rD6HLbX_IZe
 
Asante sana kwa kukubali Dar is a slum imezungukwa na vijiji na mashamba za mihogo 😂😂😂 All major cities zimezungukwa na secondary cities or towns.

Johannesburg ikona Pretotria
Cairo ikona Giza na Imbaba
Nairobi ikona Thika na Ruiru

Dar is a slum ikona nini? Ukipata jibu nitafunga hii account?
Tokyo - Kawasaki Saitama Yokohama Johannesburg - ekurhuleni, Midland , rustenburg,emfuleni
New York - Newark, jersey city, etc
 
Thika ni kiambu county ina bunge lake ina governor wake ndio maana nairobi inaitwa nairobi city or nairobi county 😅😅😅😅 au nairobi imeshindwa kupambana sasa inaomba msaada thika ya kiambu??? Usione aibu sema tu 😅😅😅😅😅


Ndio maana ukiambiwa mbweni iko over 40km ndani ya dar na kuna nyumba za kifakhari hata karen haioni ndani usishangae 😅😅😅😅😅

Eti dar iko na nn nimecheka sana🤣🤣
Nairobi is a two sided city,
Kuna areas within the old boundary that stretch more than 50km na ni urban tupu, like uthiru to joska ruai areas
 
Unakuanga pumbavu kweli. 😂 😂 😂 Kuna tofauti ya SPECT/CT na SPECT.

Unakuanga pumbavu, hujawai soma ukaelewa kitu since you joined this forum. We hukimbia tu kureply ndio maana majibu zako hua biased na za kipumbavu.😂😂😂 SPECT na SPECT/CT ni vitu viwili tofauti. SPECT/CT ni combination ya SPECT na CT scan on a single machine. Machine ya SPECT/CT installed at KUTRRH uses the latest technology equipped with a special camera used for producing clear 3D digital images.


Umetafuta SPECT/CT Scan bongolala nzima ukakosa ukaanza kujijazia PET/CT is better than SPECT/CT ju bongoslum hakuna hata moja. The reason why KUTRRH is the best Cancer hospital in the the region ni ju ina vifaa vingi vya kutibu cancer. Cancer ni ugonjwa inahitaji very high precision ku diagnose, thats why hizi machines zote zinatumika ju kila machine ikona advantage na disadvantage zake.

Pitia hapa upunguze upumbavu plus utaona machines zingine huwezi kupata bongoslum.👇👇👇


View attachment 2890286View attachment 2890287
Wewe mzee tuoneshe GTC tu. Mambo mengine tutakutoa kamasi.
 
Wabongo munapenda kubaki nyuma sana wakati dunia inabadilika kwa kasi. New technologies zinatokea kila siku lakini kama kawaida munabaki nyuma ju akili zenu za kijamaa zinafanya muwe slow. Kitambo diagnosis ya SPECT CT ilikua inatumia machine mbili, moja ya SPECT na nyingine ya CT scan. Kwa sasa teknolojia imebadilika na kampuni kama General Electric inatengeneza machine ya hybrid SPECT/CT ambayo imeunganisha machine zote mbili kua kitu kimoja kama machine za PET/CT. Soma hapa abstract ya mtalaamu ujue advantages za SPECT/CT kwa dunia ya sasa.

View attachment 2890338
Nakukumbusha umeishia CT Scans 11 tuu,Tzn ziko 45 😁😁😁😁

Onyesha CT Scans za kaunti za Kunyaland 🤣🤣
 
Africa's Most Visited Countries (2023)

1. Egypt - 14.9 million tourists

2. Morocco - 14.5 million

3. Tunisia - 9 million

4. South Africa - 7.6 million

5. Tanzania - 2.797 million

6. Kenya - 1.75 million

7. Rwanda - 1.4 million

8. Mozambique - 1.2 million

9. Mauritius - 1.1 million

10. Zimbabwe, Uganda - 1 million+ each

Wait, Did you just add a cool 1 million without shame? 😂😂


View: https://x.com/africafactszone/status/1751212698614858037?s=46

Shame on you 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom