Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nay anazungumzia Tanzania kwa undani, but In reality all Africa nations ziko Ivo, ni vile wakenya wamechoka na Ruto that's why lazma watafeel pia
Fala kweli wewe, sikiliza vzr iyo nyimbo kaongelea tabia za kikenya na maisha ya kenya kwa ujumla, kuna mahali anasema raia wa hiyo nchi ni waongo wabongo wakasome, pia amesema raia wa hiyo nchi wana njaa, je wabongo wana njaa?
 
Wabongo munapenda kubaki nyuma sana wakati dunia inabadilika kwa kasi. New technologies zinatokea kila siku lakini kama kawaida munabaki nyuma ju akili zenu za kijamaa zinafanya muwe slow. Kitambo diagnosis ya SPECT CT ilikua inatumia machine mbili, moja ya SPECT na nyingine ya CT scan. Kwa sasa teknolojia imebadilika na kampuni kama General Electric inatengeneza machine ya hybrid SPECT/CT ambayo imeunganisha machine zote mbili kua kitu kimoja kama machine za PET/CT. Soma hapa abstract ya mtalaamu ujue advantages za SPECT/CT kwa dunia ya sasa.

View attachment 2890338
🤣 🤣 🤣 🤣 Tunataka sasa utuletee GTC. Maana haya masuala ya afya hamtokaa muifikie Tanzania. Kwa sasa gari limewshwa.
 
Mhh hii hospitali ni level 5🤔
Wanamanisha nn!?
download (1).jpg
 
Back
Top Bottom