Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa ground hakuna kitu, ni vijiji na mashamba za mihogo.😂😂😂
They think a city status in development is measured by its land size…🤣🤣…in the US the largest city is Sitka in Alaska state…. 98% of the city is wilderness… similarly Dar is only modern around downtown…. ( less than 2%)…Outside of that tiny area ni Uswazi na shamba za mihogo … 🤣🤣🤣
 
Asante sana kwa kukubali Dar is a slum imezungukwa na vijiji na mashamba za mihogo 😂😂😂 All major cities zimezungukwa na secondary cities or towns.

Johannesburg ikona Pretotria
Cairo ikona Giza na Imbaba
Nairobi ikona Thika na Ruiru

Dar is a slum ikona nini? Ukipata jibu nitafunga hii account?
Thika ni kiambu county ina bunge lake ina governor wake ndio maana nairobi inaitwa nairobi city or nairobi county 😅😅😅😅 au nairobi imeshindwa kupambana sasa inaomba msaada thika ya kiambu??? Usione aibu sema tu 😅😅😅😅😅


Ndio maana ukiambiwa mbweni iko over 40km ndani ya dar na kuna nyumba za kifakhari hata karen haioni ndani usishangae 😅😅😅😅😅

Eti dar iko na nn nimecheka sana🤣🤣
 
Enyewe unakuanga pumbavu. Kumbe hujui tofauti ya Kiambu County na Kiambu Town. 😂 😂 😂 😂 Nairobi imezungukwa na towns mingi hadi hujielewi.
Kiambu county na kiambu town tofaut ni nn??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ikiwa kutoka CBD mpaka kiambu ni 16km sawa na kutoka dar CBD mpaka mwenge sasa wewe unashangaa nn 😅😅😅😅

Screenshots_2024-01-31-00-03-57.png
 
Baada ya kukupiga kama mbwa kwa metropolitan area. Sasa tena nakupiga kama punda kwa city proper.

Nairobi Super City 👇 👇


View: https://www.youtube.com/watch?v=vb1gXkBTZxg&t=141s

Dar is a slum 👇👇 Dream houses ni nyingi kuliko ghorofa. 😂😂😂


View: https://www.youtube.com/watch?v=KmXil-4lhCc

Nairobi sasa inaomba msaada kutoka county jirani baada ya kukutana na kitu kizito 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na mm hua nafurah kuona vile dar inawanyima usingizi manake munahaha kweli wakat tulitegemea muwe sawa na singapore ajabu hata zimbabwe ina nafuu
CBD to westland 3km
CBD to upperhill 3km
CBD to kilimani 6km
CBD to kibera slum 5km
CBD to kiambu county 16km

Biashara imekwisha 😅😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom