Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo huna pakutorokea, nakupiga kama paka ndani ya gunia. 😂😂😂

Vikindu Village 20KM from Dar is a slum CBD, mashamba za mihogo.👇👇😂😂😂


View: https://www.youtube.com/watch?v=KvPjzX7iC4M

Kamakis Town 23 KM from Nairobi CBD


View: https://www.youtube.com/watch?v=QSDzJGx7zGU

Mm au wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2024-01-30-23-51-12.png
 
Kamakis pia haiko Nairobi, Dar is a slum imezungukwa na vijiji, Nairobi imezungukwa na towns forming a cluster. 😂 😂 Dar imezungukwa na mashamba ya mihogo na vijiji.
Kuna miji inayoanza kukua huko nje ya Dar.
Ila sijaona mashamba pale bali ni miti na uoto wa asili.
Pia usidhani kila kona bongo inakimbilia kujenga magorofa
 
Kamakis pia haiko Nairobi, Dar is a slum imezungukwa na vijiji, Nairobi imezungukwa na towns forming a cluster. 😂 😂 Dar imezungukwa na mashamba ya mihogo na vijiji.
Hapa tunazungumzia dar city vs nairobi city hakuna kuruka ruka nje ya mada tulia kwenye mada tupige kwenye mshono 🤣🤣

Dar city 1500km sq

Nairobi city 696 km sq ndani yake kuna 120km sq nairobi national park ndani yake kuna over 200km sq misitu ya wakubwa
Chukua hesabu ndogo tu utagundua kwann nakwambia 👇👇👇

Kutoka CBD kwenda westland ni 3km
Kutoka CBD kwenda upperhill ni 3km
Kutoka CBD kwend kibera ni 5km

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mji gani? weka evidence.
Hii ni kuanzia Kibaha maili moja kwenda mbele mradi wa maendeleo ya makazi.
Kuhusu Vikindu yale ni maeneo ambayo ndio yanaanza kujengeka na kukaliwa na watu kipindi hiki.
Hata kigamboni ilikua kama vikindu ila sasa imeendelea.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-31-00-11-04-22_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-00-11-04-22_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    58.8 KB · Views: 13
Hapa tunazungumzia dar city vs nairobi city hakuna kuruka ruka nje ya mada tulia kwenye mada tupige kwenye mshono 🤣🤣

Dar city 1500km sq

Nairobi city 696 km sq ndani yake kuna 120km sq nairobi national park ndani yake kuna over 200km sq misitu ya wakubwa
Chukua hesabu ndogo tu utagundua kwann nakwambia 👇👇👇

Kutoka CBD kwenda westland ni 3km
Kutoka CBD kwenda upperhill ni 3km
Kutoka CBD kwend kibera ni 5km

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana kwa kukubali Dar is a slum imezungukwa na vijiji na mashamba za mihogo 😂😂😂 All major cities zimezungukwa na secondary cities or towns.

Johannesburg ikona Pretotria
Cairo ikona Giza na Imbaba
Nairobi ikona Thika na Ruiru

Dar is a slum ikona nini? Ukipata jibu nitafunga hii account?
 
Hii ni kuanzia Kibaha maili moja kwenda mbele mradi wa maendeleo ya makazi.
Kuhusu Vikindu yale ni maeneo ambayo ndio yanaanza kujengeka na kukaliwa na watu kipindi hiki.
Hata kigamboni ilikua kama vikindu ila sasa imeendelea.
Kwa ground hakuna kitu, ni vijiji na mashamba za mihogo.😂😂😂
 
Back
Top Bottom