Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hata Arusha hujafika. You sound so unexposed. Mahali unajua Ni kijijini ulikozaliwa na Tandale.
Nakushindilia na msumari huu. Fuatilia naweka hapa.
Wachezaji wa Footabll toka Kenya wanaocheza TZ

2. Ruth Mukalukho Ingosi - Simba Queen
1706540242364.png
 
Unaumwa wewe kwanza kiwanja kipi Nairobi upate kwa hiyo million 1.5kshs? Achana na nyumba kwanza
Zwazwa anafkiri sisi ni wageni kenya 🤣🤣🤣
Suala la land in kenya ni kama anasa, maskini wengi ndoto zao ni kuishi bed sitter na sio ku own land kwasababu hakuna matumaini ya wao kumiliki ardhi mpaka wanakufa unless wasubiri ardhi za urithi ushagoo ambapo unakuta ni ya ukoo wako zaidi ya 200😅😅😅😅😅😅
 
Jeshi la kenya lilienda hakuongea chochote. Wazee wa kazi wameingia ameanza kuhaha.

Hakuna mtu anayekuja kuivamia Rwanda. Watu wameingia Congo kuwaondoa M23. Yeye anahaha nini? Mbona Burundi, Tanzania na Uganda Tutsi wapo?

Atulie hivyo hivyo wanaume wafanye kazi. Burundi tayari eshafunga mpaka. Silaha zitapitia burundi. Zitaenda Congo.
A hit dog will holler.
 
 
Size of Nairobi National Park = 117 km²
Ukiunganisha na Slums nadhani tutabaki tu kilomita tuchache sana.
So chukua 696 toa 117 = 579km sq

Chukua 579km sq toa misitu ya wakubwa ambayo ni over 200km sq 😅😅😅😅

Area Iliyobaki ndio nairobi city, wapo wakaza fuvu, wanyama, mifugo, kunguni, na flying toilet also😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom