ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Samatta anatugharimu sana hata msuvaTena sanaaaa, unajua wakenya wanaumia sana jinsi tunavyowaacha kimaendeleo, tymewapiga kwenye karibu kila idara, jana waliona wenyewe mpira uliopigwa na stars, kama stars ingetulia ile mechi na zambia leo tungeongea mengine apa, ilikuwa ishafuzu, sema tu ugeni wa mashindano umetu cost, trust me Tz kuna kitu itapata next afcon alafu hawa vibera kazi yao itakuwa hii hii kuisagia kunguni Tz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣