Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya kumaliza kutukana. Tumalizie kiporo chetu cha jana kuhusu football.
Screenshot_20240122-231930.png
 
Aisee katika watu niliokutana nao basi ww ni wazanga 😅😅😅😅😅😅
View attachment 2881896
Wewe ni mjinga na hakuna unachoelewa na ulivyo pimbi unabisha kabisa yaani,inawezekana Civics ukipata F.

Narudia kukwambia Kuna vyanzo vya Mapato vinavyotambulika kama vya Taifa vinakusanywa na TRA na Kuna vyanzo vya Mapato ambavyo ni Kwa Zanzibar tuu na vinakusanywa na ZRA
Kulingana na mgawanyo wa kipi ni Cha Muungano na kipi ni Cha Zanzibar.

Ndio nakwambia Sasa Ofisi ya TRA Zanzibar sio pambo na nimekuwekea makusanyo hapo yanayotoka Zanzibar ila yankusanywa na TRA.
 
Wewe ni mjinga na hakuna unachoelewa na ulivyo pimbi unabisha kabisa yaani,inawezekana Civics ukipata F.

Narudia kukwambia Kuna vyanzo vya Mapato vinavyotambulika kama vya Taifa vinakusanywa na TRA na Kuna vyanzo vya Mapato ambavyo ni Kwa Zanzibar tuu na vinakusanywa na ZRA
Kulingana na mgawanyo wa kipi ni Cha Muungano na kipi ni Cha Zanzibar.

Ndio nakwambia Sasa Ofisi ya TRA Zanzibar sio pambo na nimekuwekea makusanyo hapo yanayotoka Zanzibar ila yankusanywa na TRA.
Ngoja nifate maneno ya wengine
 
Jamaa kapita hapo leo..

Sijui wataalam wa landscaping wanataka kufanya nini hapo..
 

Attachments

  • IMG_20240125_010905.jpg
    IMG_20240125_010905.jpg
    370.6 KB · Views: 13
  • IMG_20240125_010833.jpg
    IMG_20240125_010833.jpg
    373.7 KB · Views: 16
  • IMG_20240125_011053.jpg
    IMG_20240125_011053.jpg
    882 KB · Views: 18
  • IMG_20240125_011023.jpg
    IMG_20240125_011023.jpg
    762.3 KB · Views: 15
  • IMG_20240125_010959.jpg
    IMG_20240125_010959.jpg
    761.5 KB · Views: 17
  • IMG_20240125_010934.jpg
    IMG_20240125_010934.jpg
    673.7 KB · Views: 18
Alikuwa anangoja drc itufunge goli nyingi aanze na vijimaneno vyake vya kinyang'au😁
Just like last AFCON, you finished last again in your group and you have the nerves to compare yourself to Ghana and Algeria….. 2 teams that not only are past AFCON champions but also several times World Cup participants…..nyinyi ni bure kabisa… concentrate na Uchawi… Mpira is not your cup of tea..🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom