Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What gear have I changed? You gave an example using Botswana and I did the same with South Sudan. What's the difference?

About Olympics, you know we are Africans kings of Olympics au unajifanya umesahau?
Kwani South Sudan wewe hawajakutom.ba? si juzi tu hapa hata damu hazijakauka,👇👇🤣🤣
Screenshot_20240124-044641~2.png
 
Hiyo haibadili chochote mzee kwamba Tz league is in Top five list of Africa's top leagues

Product ya league yetu ni wachezaji wengi tu.

Azizi ki -Bukinafaso
Fiston Mayele-Congo DRC
Jigui Diara- Mali
Hikoni Inonga-Congo DRC

Heb na wewe taja walau wachezaji wawili kutoka hiyo league yenu wanaocheza Afcon hata kwa mataifa mengine walichiliambali Kenya mana hamna uwezo wa kushiriki. 😂😂😂😂
Ligi ya kenya ipeleke mchezaji afcon? Ligi ya kenya ni kama ya mchangani, typical amateur, kuna viwanja kule kenya vinachezwa ligi na havina nyasi, bingwa kenya anapata milioni 20tzs can you imagine?
 
Back
Top Bottom