Sijui na sidhani.Tel
Tell me, mara ya mwisho Tanzania kuwa ranked ahead of Kenya ilikuwa mwaka gani?
Ila kwasasa mpira wa Tanzania una evolve tena haraka sana ndani ya miaka mitatu tumevuka nafasi 14 nadhani unapata jibu.
Tunakuja.
Sijui na sidhani.Tel
Tell me, mara ya mwisho Tanzania kuwa ranked ahead of Kenya ilikuwa mwaka gani?
Tofauti yako na kondoo ni harufu.FIFA ban affects all footballing activities in a country wewe kilaza wa bongo.
Non-football country ambayo iko ranked mbele yenu na iliwatwanga AFCON? 😂
Tofauti yako na kondoo ni harufu.
Kazi kubishana tu.
Mnafungwa hadi na Botswana! 😂😂😂
View attachment 2880364
Vipi nyinyi kuhusu Sudan Kusini?Tofauti yako na kondoo ni harufu.
Kazi kubishana tu.
Mnafungwa hadi na Botswana! 😂😂😂
View attachment 2880364
From the 90s onwards, Kenya is just a drawing tiger.Wewe dwanzi tu.
Mbona umechange mada?Vipi nyinyi kuhusu Sudan Kusini?
![]()
South Sudan beat Tanzania 2-1 in Cecafa U-18 tourney
Ngong Garang and Christopher Ungom scored for South Sudan.www.the-star.co.ke
A drawing tiger!?!?!From the 90s onwards, Kenya is just a drawing tiger.
Gor Mahia won the Nelson Mandela Cup (later renamed Africa Cup Winners Cup) in 1987 after beating Esperance of Tunisia in the final
![]()
Untold stories about Gor’s 1987 Mandela Cup win
League champions Gor Mahia’s victory at the 1987 Mandela Cup has over the years elicited many myths. That year, K’Ogalo became the only club from the East African region to win a continentalnairobinews.nation.africa
View attachment 2880226
Hizi unataja zote ni history mzee 😂😂😂 it has nothing to do with your current capabilities to qualify either Afcon or CAF champions league.Kwenye soccer Kuna nini?
Last time I checked, we beat you in AFCON kama burukenge
We are ranked ahead in of you in FIFA rankings
We are the only country in EA with a club holding a Continental title
Our local football clubs have always beaten your local football clubs.
We have participated in more AFCON competitions than you have
We've also won matches in AFCON (one of them against you) wakati nyinyi bado hamjui ushindi AFCON inatataste aje!
We've also sent players to European leagues and one of our own has even lifted the prestigious UEFA Champions League
So if I may ask, what bragging rights do you have over Kenya in matters football?
Mbona umechange mada?
Au umegundua mmepewa kichapo na Botswana!
Ni mashindano gani ya kimataifa timu zenu zinashiriki?
View: https://x.com/ernestenoh1/status/1721822963308134840?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Petty tiger 😁A drawing tiger!?!?!
What the heck is that?
Ligi gani bora wakati products za hiyo ligi 'bora' can't even beat ten men in a football match?Hizi unataja zote ni history mzee 😂😂😂 it has nothing to do with your current capabilities to qualify either Afcon or CAF champions league.
Tunavyoongea hivi sasa league yetu ni namba 5 kwa ubora Africa na team yetu ya taifa inacheza kesho vs Congo DRC, how about you? 😂😂😂😂
Power interruptiona necessitated by systems upgrade, sio upungufu wa stimaJirani yuko katika giza. Kiingereza kingi eti power cuts at diverse times🤣🤣🤣
![]()
Kenya Power lists 4 counties that will go without power on Tuesday
Kenya Power has announced that four counties will experience power interruptions on Tuesday.mpasho.co.ke
Hiyo haibadili chochote mzee kwamba Tz league is in Top five list of Africa's top leaguesLigi gani bora wakati products za hiyo ligi 'bora' can't even beat ten men in a football match?
Haibadili chochote kivipi wakati UHiyo haibadili chochote mzee kwamba Tz league is in Top five list of Africa's top leagues
Product ya league yetu ni wachezaji wengi tu.
Azizi ki -Bukinafaso
Fiston Mayele-Congo DRC
Jigui Diara- Mali
Hikoni Inonga-Congo DRC
Heb na wewe taja walau wachezaji wawili kutoka hiyo league yenu wanaocheza Afcon hata kwa mataifa mengine walichiliambali Kenya mana hamna uwezo wa kushiriki. 😂😂😂😂
Kenya is a tiger that does not speak or bite.A drawing tiger!?!?!
What the heck is that?
kings of Olympics na hamjafuzu!What gear have I changed? You gave an example using Botswana and I did the same with South Sudan. What's the difference?
About Olympics, you know we are Africans kings of Olympics au unajifanya umesahau?
Africans kings?What gear have I changed? You gave an example using Botswana and I did the same with South Sudan. What's the difference?
About Olympics, you know we are Africans kings of Olympics au unajifanya umesahau?
We bit you in AFCON lest you forgotKenya is a tiger that does not speak or bite.
It's just a picture of a tiger
Hakuna walichopeleka AFCON kilichobaki wamekuwa wachambuzi na majaji nyang'au.Nyie nae punguzeni wivu na roho mbaya bora ya taifa stars hata walioingia makundi ya AFCON nyinyi mumeingia mashindano gani? Tena kaeni kwa kutulia na mumshkuru sana azam tv amekuza sana mpira wenu machizi nyinyi 😅😅😅😅😅😅😅
bit? I asume you are talking about beat.We bit you in AFCON lest you forgot