Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dude hili hapa. Limejaa mzigo niambieni linaelekea wapi?
Screenshot_20240119-222525.png
 
Makenya yanaumia yakiona superpower imeingia nchini kwao kilazima na kuchukua mizigo yao na kupeleka nje, hakuna cha kq wala Astral aviation, mzigo wote ni TC na tukiona haitulipi tunaanzisha zogo lingine kwamba kama hatupati mzigo hakuna wakenya kuingia Tanzania, kesho tu serikali yao inaitafutia mzigo TC, ukiwa mkubwa raha sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna cha fair game hapa, sisi ndiyo tunazipa faida kubwa hizi nchi za huu ukanda wa wapumbavu, bila Tanzania no peace, no food, no technological advancement kwa huu ukanda wa wapumbavu, so kwa faida ya EA lazima Tanzania ipate kikubwa ili iendelee kuilea hii zone ya watu wavivu na wapuuzi wa EA.
 
Wewe kwa akili yako unahisi Tanzania tulipaswa kuwa hapa??

Magufuli mwenyewe alipoingia aliikuta nchi imeliwa sana na waliyoila ni CCM,akafanya jitihada nyingi kuibadili CCM ila bahati mbaya ikawa ngumu kwani ilikuwa tayari ishaota mizizi labda angevunja mti mzima(Aanzishe Chama chake)..........badala ya kuibadilisha CCM,CCM ikaamua kumbadili yeye (Died)

Tunahitaji Chama kipya ambacho kina hasira ya kutaka kuionesha nchi kuwa tulikuwa tumechelewa kuwa hapa,ila shida ni kuwa Watz wengi ni conservatives sana
 
Back
Top Bottom