Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

54 tons kama sijakosea
Design capacity yake ni 60 tons ila operating capacity ni 58tons
Hapa inabidi mama aone hii opportunity aagize hata cargo jets mbili za intercontinental range maana biashara ya perishable goods inakua kinoma! Cargo kutoka Tanzania esp. Mwanza na Mbeya ipo on trajectory! Ule mpango wa cold storage Songwe airport vp umefikia wapi?
Pia mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka sana mzigo upo wa kutosha tuu just one more freighter 767 300F itatutosha kwa sasa in the near term.
Nakumbuka huko nyuma ndege za kirusi Tupolev na Antonov zilikuwa zinachukua minofu mingi ya samaki mwanza vipi vile viwanda bado vipo na mzigo bado upo au?
 
Kuna Mtanzania anae omba kuwa raia wa kunyaland
 

Attachments

  • IMG_20240119_131528_361.jpg
    IMG_20240119_131528_361.jpg
    822.2 KB · Views: 18
Design capacity yake ni 60 tons ila operating capacity ni 58tons
Pia mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka sana mzigo upo wa kutosha tuu just one more freighter 767 300F itatutosha kwa sasa in the near term.
Nakumbuka huko nyuma ndege za kirusi Tupolev na Antonov zilikuwa zinachukua minofu mingi ya samaki mwanza vipi vile viwanda bado vipo na mzigo bado upo au?
Exactly muda ndo huu kuteka soko la Halal products! Chinja asubuhi mchana kiko mezani!
 
Back
Top Bottom