Mabasi ya classic,mmiliki si mkenya..chunguza vizuri...
Mabasi ya classic,mmiliki si mkenya..chunguza vizuri...
Mujiandae kupokea wakimbizi kutokana na vita muda sio mrefu 🤣🤣🤣🤣🤣Chuma hicho View attachment 2870999
Ndio hata hiyo ajali ni KenyaMabasi ya classic,mmiliki si mkenya..chunguza vizuri...
Na mshindi wa pili ?👇👇👇Mshindi wa mashindano ya wiki 2 tu kalamba 100M, huko kasikazini mshindi wa mashindano ya Mwaka mzima analala na 20M wachezaji wanagawiwa laki mbili mbili alafu bado tunabishania GDP? View attachment 2870983😂😂😂
Mziki mzito huu kwa wakenya 🤣🤣🤣Chuma hicho View attachment 2870999
Juzi kati nilipita airport 1 ya hapo gulf,transit ilikua ya muda mrefu so lounge niliyokaa nikawaona kunyan kibao wanapiga kazi za usafi vyooni na maeneo mengine,nikasema nifanye reasearch ya kuwatafuta,aisee wamejaa pale airport na kazi yao kubwa usafi vyooni cha kusikitisha mshahara wao usd 400!pesa kama ile wanawezaje kuishi abroad na kutuma pesa kwao na maisha yakaenda!?Wazee wa sevisi ikonomi 😂😂 wanataka kwenda kutoa service kwa vikongwe wa Kijerumani, Kunyaland ni aibu na fedheha ya Africa mababu zao walipinga utumwa lakini wao wanalazimisha umanamba kwa kupiga magoti kabisa 🚮🚮
Hawa jamaa nyumbani kwao wana maisha ya tabu sana hiyo 400 dollars mbona kwao ina maana kubwa sana.Juzi kati nilipita airport 1 ya hapo gulf,transit ilikua ya muda mrefu so lounge niliyokaa nikawaona kunyan kibao wanapiga kazi za usafi vyooni na maeneo mengine,nikasema nifanye reasearch ya kuwatafuta,aisee wamejaa pale airport na kazi yao kubwa usafi vyooni cha kusikitisha mshahara wao usd 400!pesa kama ile wanawezaje ku8shi abroad na kutuma pesa kwao na maisha yakaenda!?
Kunyan wana dhiki mno!
Hvi wakenya hawana wasomi au??🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1745809703962095958?t=92zhgO23w2KKzJdOTjRJ2A&s=19
Wapumbavu tu hao wana ready market la vyakula since wanaimport 80% ya chakula, Maana yake wanaweza lima na kupata soko la haraka sana kuliko kwenda kujitesa na kuwa vituko ila sababu ni mivivu imelemaa haina akili ya kujiongeza tofauti na kupigana miti 24/7Juzi kati nilipita airport 1 ya hapo gulf,transit ilikua ya muda mrefu so lounge niliyokaa nikawaona kunyan kibao wanapiga kazi za usafi vyooni na maeneo mengine,nikasema nifanye reasearch ya kuwatafuta,aisee wamejaa pale airport na kazi yao kubwa usafi vyooni cha kusikitisha mshahara wao usd 400!pesa kama ile wanawezaje ku8shi abroad na kutuma pesa kwao na maisha yakaenda!?
Kunyan wana dhiki mno!
ni nani hao?Huko jamhuri ya twita Nimeona huyu mwamba anafananishwa na huyu 😀😀😀
Pamoja na nyenzo na technology tuliyonayo tunahandle 2 million tons kwa mwezi, hao dp world wanaosemekana wanaingia rasmi march wanatakiwa kuhandle 4 mpaka 5 million tons per month kutokana na sifa zao walizokua wakinadiwa na hapo ndio kitakua kifo cha MombasaIn the last six months with increased efficiency Dar port handled 12m tons. Ikifika June lazima ifike 25m tons.
![]()
TPA wins accolades for enhanced efficiency - Daily News
TANZANIA: TANZANIA Ports Authority (TPA) has been commended for enhanced efficiency and urged to work hard to attain more success and increase the ports sector contribution to the country’s economy. The praise was given by various government leaders who visited the TPA pavilion at the ongoing...dailynews.co.tz