Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa jamaa wanatia aibu sana, now wanaonesha uwakala wao wazi wazi, hizi ni level za juu sana za uomba omba.
Wazee wa sevisi ikonomi 😂😂 wanataka kwenda kutoa service kwa vikongwe wa Kijerumani, Kunyaland ni aibu na fedheha ya Africa mababu zao walipinga utumwa lakini wao wanalazimisha umanamba kwa kupiga magoti kabisa 🚮🚮
 
Ruto anatarajiwa kwenda China kutembeza bakuli tena wiki ijayo😎
Siku hizi anajua hatopewa pesa kwa hiyo ameamua kuzunguka kutafuta machaka ya kuwapunguzia wakundustan, anatafuta mashamba, viwanda, nyumba za vikongwe na majalala yanayohitaji nguvu kazi wenye nguvu lakini hawana akili wa kufanya kazi za shuruba wapate nafasi wahame Kunyaland lakini anashindwa kuwaambia wakundustan waache kuzaliana hovyo kama skubi 🐶 🚮🚮
 
1705041872750.png
 
Back
Top Bottom