Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://www.instagram.com/p/C14JU3UMm_K/?igsh=ZjB6eTc2ZmprZHV4
-1735598327.jpg
463553192.jpg
-241835450.jpg
-1198480413.jpg
1547999572.jpg
-1527158635.jpg
 
Kwa mfano ikatokea mtanzania mojawapo wa jf akawa rais wa Tanzania maisha yenu yatakuaje kunyaland nao ni
The best A007
Ichoboy
Coodpol
Venus
Chongchang
Nchi sio Mali ya mtu binafsi ,hakuna kikubwa watakachofanya Chenye utofauti.

Hakuna Nchi inaweza endelea yenyewe bila kuwa na mahusiano na Nchi zingine regardless kiasi Cha chuki uliyonayo Kwa jirani.
 
Kwa mfano ikatokea mtanzania mojawapo wa jf akawa rais wa Tanzania maisha yenu yatakuaje kunyaland nao ni
The best A007
Ichoboy
Coodpol
Venus
Chongchang
Waendelee kuomba kwa hao wenzangu ila sio mm 😁😁😁😁😁 bahat nzuri wananijua hua sina show mbovu, manake ntawapelekea ukuni wa moto mpaka wajue kwanini bata akipewa kokoto lazma ataharisha tu
 
Nyerere alikua na nia nzuri sana lakini isiotekekezeka (unrealistic) kwa caliber ya viongozi wengi wa Africa, ni wachache kama yeye na Magufuli wangeweza kuishi the declaration lakini sio wote, kutokana na huo uhalisia wangewapa tu uhuru kwa viongozi waliokua tayari kwenye biashara kama kina Kambona na Mtei wa chadema kuunda trust na kuendelea na biashara zao as long as zinafata sheria na kanuni za Tanzania, sioni shida yoyote kwa kiongozi kufanya biashara kama anapata deals kwenye competitive atmosphere ambayo ipo regulated na 'independent' agency ya serikali.
Hicho unachokisema ndiyo unrealistic, kwasababu kinaleta mgongano wa kimaslahi na kibaya zaidi kinatengeneza dhana au utamaduni wa kupiga. Mfanyabiashara wa kweli kama Mengi (RIP) hawezi kung'ang'ania ajira serikalini, ataacha tuu ajira, pale anapoona kuna opportunity ya biashara.
 
Back
Top Bottom