Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwahiyo unataka kusema JPM liyekuwa anatokea huko hakuhusika? Na kama hakuhusika mbona asimfurumushe Kagame?
Amfurumushe kwa mantiki/sababu ipi? Rais haruhusiwi kuwekeza nchi nyingine? Next time ongea kwa facts, sio kupayuka payuka tu.

Kabila ana miradi mingi tu Tanzania (akiwa Rais na baada ya kustaafu), mengine imeanzishwa kipindi cha Magu, na mim ni mshirika wake pia. Lkn Magu hayupo popote

Hata muda hii hadi Jpil nipo Kigoma (nimewasili leo) naelekea kwenye mishe za Kabila. Jtatu narud kazin kama kawa
Screenshot_20240112-123040_Maps.jpg
 
Amfurumushe kwa mantiki/sababu ipi? Rais haruhusiwi kuwekeza nchi nyingine? Next time ongea kwa facts, sio kupayuka payuka tu.

Kabila ana miradi mingi tu Tanzania (akiwa Rais na baada ya kustaafu), mengine imeanzishwa kipindi cha Magu, na mim ni mshirika wake pia. Lkn Magu hayupo popote
sasa basi nikisema wewe una chuki binafsi na mwenye mabasi ya Blue coast nitakosea? rival kwa biashara zako pia nitakosea? Na hiki ndio ninachopinga!
 
sasa basi nikisema wewe una chuki binafsi na mwenye mabasi ya Blue coast nitakosea? rival kwa biashara zako pia nitakosea? Na hiki ndio nichapinga!
Umekosea, otherwise leta evidence.. hatuhusiki hata na mabuses. Acha kupayukapayuka au kujikuta mjuaji

Suala la huyo jamaa wa mabus nimeeleza tu taarifa yake, suala la kuuza mkaa ni danganya toto. Hakuna utajiri safi popote
 
Umekosea, otherwise leta evidence.. hatuhusiki hata na mabuses. Acha kupayukapayuka au kujikuta mjuaji
wacha ku-character assasinate makampuni ya watu mpumbavu wewe! Huyo Kabila businesspartner wako unajua anahusika na upotevu wa fedha kiasi gani DRC?
 
Sawa ni mpumbavu 😂
Nikionaga mtu anatukana, najua hamna kitu 😂
Kwako wewe unye wewe akinya mwengine kaharisha! Ndiyo arguments unazoleta humu ndani! Biashara ni wewe na Kabila ila huyo baba na Kagame hapana! usitumie JF vibaya!
 
Kuhusu azimo la Arusha, umehoji kirahisi sana, kama mtu anayeishi ulimwengu wa 2024, wenye high speed internet na smart phone. Ukisahau kuwa kwa kipindi kile Afrika ilikuwa imechafuka na Tanzania ilikuwa na matatizo mengi sana yaliyofanya kuwekwa sera zile.

Hata hivyo, haya mambo ya kuwa mfanyabiashara huku ukiwa ni mtumishi wa serikali yanaleta changamoto nyingi sana katika maendeleo ya nchi. Kama mtu anataka kufanya biashara waachie wengine kazi ya umma afanye biashara yake.
Nyerere alikua na nia nzuri sana lakini isiotekekezeka (unrealistic) kwa caliber ya viongozi wengi wa Africa, ni wachache kama yeye na Magufuli wangeweza kuishi the declaration lakini sio wote, kutokana na huo uhalisia wangewapa tu uhuru kwa viongozi waliokua tayari kwenye biashara kama kina Kambona na Mtei wa chadema kuunda trust na kuendelea na biashara zao as long as zinafata sheria na kanuni za Tanzania, sioni shida yoyote kwa kiongozi kufanya biashara kama anapata deals kwenye competitive atmosphere ambayo ipo regulated na 'independent' agency ya serikali.
 
😂😂
Ila humu ndan kunachekesha sana. Hujui hata mtu anatetea nin 😂
  • Hoja ilikuwa Magu kuhusishwa kwenye ishu ya GGM, nikasema hakusiki
  • Hoja ikabdilishwa kuwa Kagame angefurumishwa kwa kuwekeza Tanzania. Then nimetolea mfano wa Kabila amewekeza Tanzania, mbona hafurumishwi
  • Baadae hoja ikabdilishwa tena, eti nina chuki na mtu wa bluecost ( kisa uwepo wa Kagame) kisa nina ushirika na Kabila. Kabila na Kagawe wenyewe hawana biashara zinazofanana.
Mtu akishiba ugali anajikuta tu mjuaji wala hata hajui anachosimamia, wengine huishia kutukana, wakidhan hutokula msosi kisa umetukanwa 😂
Vijana humu akiongozwa na kijana wangu ChoiceVariable huwa mnafurahisha sana 😁
 
Nyerere alikua na nia nzuri sana lakini isiotekekezeka (unrealistic) kwa caliber ya viongozi wengi wa Africa, ni wachache kama yeye na Magufuli wangeweza kuishi the declaration lakini sio wote, kutokana na huo uhalisia wangewapa tu uhuru kwa viongozi waliokua tayari kwenye biashara kama kina Kambona na Mtei wa chadema kuunda trust na kuendelea na biashara zao as long as zinafata sheria na kanuni za Tanzania, sioni shida yoyote kwa kiongozi kufanya biashara kama anapata deals kwenye competitive atmosphere ambayo ipo regulated na 'independent' agency ya serikali.

Baada ya azimio la Arusha likafuata azimio la Zanzibar.

Hakuna haja ya kujificha nyuma ya mgongo wa watu wakati tayari sera za uchumi zimebadikilika. Ni bora kuwekeza hapa hata Kwa proxy names maana kuna fursa zinapatikana kuliko kuchimbia fedha ndani au kuweka in offshore accounts.
 
Baada ya azimio la Arusha likafuata azimio la Zanzibar.

Hakuna haja ya kujificha nyuma ya mgongo wa watu wakati tayari sera za uchumi zimebadikilika. Ni bora kuwekeza hapa hata Kwa proxy names maana kuna fursa zinapatikana kuliko kuchimbia fedha ndani au kuweka in offshore accounts.
And that was my point, mara nyingi offshore account zinadrain economy hasa kama ni za viongozi na hizi accounts huwa wanafungua viongozi wanaotoka kwenye mataifa yenye hostility environment kwa umiliki wa mali kwa viongozi wa umma, sasa kuliko hizi pesa zikanufaishe kwengine kwanini serikali isiweke sera nzuri kwa viongozi wa umma nao kuwekeza kwa amani bila kubanwa na masheria ya ajabu ajabu, viongozi wa umma wana mishahara mikubwa na exposure na connections za kimataifa tayari ni potential kama tukiwa na positive thoughts kwamba wataleta positive impacts kibiashara nje na political positions zao kuliko kudhani ni majizi tu!
 
And that was my point, mara nyingi offshore account zinadrain economy hasa kama ni za viongozi na hizi accounts huwa wanafungua viongozi wanaotoka kwenye mataifa yenye hostility environment kwa umiliki wa mali kwa viongozi wa umma, sasa kuliko hizi pesa zikanufaishe kwengine kwanini serikali isiweke sera nzuri kwa viongozi wa umma nao kuwekeza kwa amani bila kubanwa na masheria ya ajabu ajabu, viongozi wa umma wana mishahara mikubwa na exposure na connections za kimataifa tayari ni potential kama tukiwa na positive thoughts kwamba wataleta positive impacts kibiashara nje na political positions zao kuliko kudhani ni majizi tu!

Naona ni sahihi,

Bora waingie kwenye biashara tu moja kwa moja. Wafuate taratibu na Sheria na kodi walipe. Hivyo ndio vya muhimu.
 
😂😂
Ila humu ndan kunachekesha sana. Hujui hata mtu anatetea nin 😂
  • Hoja ilikuwa Magu kuhusishwa kwenye ishu ya GGM, nikasema hakusiki
  • Hoja ikabdilishwa kuwa Kagame angefurumishwa kwa kuwekeza Tanzania. Then nimetolea mfano wa Kabila amewekeza Tanzania, mbona hafurumishwi
  • Baadae hoja ikabdilishwa tena, eti nina chuki na mtu wa bluecost ( kisa uwepo wa Kagame) kisa nina ushirika na Kabila. Kabila na Kagawe wenyewe hawana biashara zinazofanana.
Mtu akishiba ugali anajikuta tu mjuaji wala hata hajui anachosimamia, wengine huishia kutukana, wakidhan hutokula msosi kisa umetukanwa 😂
Vijana humu akiongozwa na kijana wangu ChoiceVariable huwa mnafurahisha sana 😁
wewe ndio mjuaji huyo baba hana haja kuhusishwa na GGM na hata na Kagame yeye kaeleza biashara yake, nini negativity halafu unaenda kuturingishia mishemishe zako na Kabila! Wacha double standards nyoko wewe! Akili yako inapimika huna ustaarabu wa upande mmoja kuongelea maovu upande wa pili kutukuza! Hilo tu! Haihitaji nguvu huyo baba ni rival kwa biashara zenu kwa jinsi utavyotuaminisha wewe ni sawa kuwa kijakazi wa Kabila lakini Mtanzania mwingine hapaswi kuwa kijakazi wa Kagame kama unavyomuongelea huyo Baba!
 
Back
Top Bottom