Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ingependeza sana, nimesoma mahali kwamba phase 3 itakua na design ya phase 1, sio sawa
Na mimi nimeona kwenye Vituo leo , Ni design ya Awamu ya kwanza .

Nimeshindwa kunasa kile kituo chini ya Mfugale 😂
IMG_3522.jpeg


IMG_3547.jpeg
 
Gari yako inabeba 4 passengers at that speed wakati hii train inabeba 1000pax at that speed. Halafu gari yako inachafua mazingira sana.
Your trains have a maximum pax of 500. Kenyan trains do 1800 pax.
 
Kazikuta bandari ya Tanga na mtwara ni magofu kaikuta bandari ya Dara es salaam hali Jojo kaiongezea kina na kaongeza berth Katia sio chini ya trillion Moja hapo ndo unaona matunda yake Leo hii haya sema wewe kubwa jinga ni lini hizo bandari ziliboreshwa kabla ya magufuli?
Huyo achana naye mpuuzi mmoja hivi, wote wanaompinga magu tumegundua hawana hoja za msingi, ukiwabana kwa facts wanaishia kusema sukuma gang, hawana hoja achana ndo cz kila mtu anajua magu alipoitoa hii nchi.
 
Huyu mwamba anamiliki mabasi 500 from Geita. We kima njoo ujiue uku Teargas 🤣🤣 👇
View: https://www.instagram.com/p/C198EgbtDpZ/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==.

Imebidi nisome comments kwanza isije mtu akawa ameshacomment..
huyu mzee (ana asili ya urwanda) hela zake zimetoka kwa kagame (Rais wa Rwanda) kutokana na connection ya viongozi wawili kutoka serikalin, hii ni kutokana na kuwepo kwa deal la GGM, na hilo deal la GGM amesaidiwa na viongozi haohao wawili, waliwafanyia figisu primefuel waliokuwepo mwanzo, so kwa huu mchezo, hayo mabus kishare sio yake, kuna watu nyuma za pazia accounts zao zinaingiza hela. From nowhere mtu kama huyu eti ana pata deals hivhiv la kwenye kampuni ya madini, GGM. No!

Pia kiafrica au bongobongo, hakunaga utajiri safi na hakuna tajiri anaejionesha unless ana tatizo la akil au ushamba.
 
Back
Top Bottom