Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza

View: https://www.instagram.com/p/C16yU2qNkFj/?igsh=MXUyZ2Fmdjl2ZmthcQ==
1364381001.jpg
-1117442610.jpg
 
Mimi nilitegemea vingekiwa bora zaidi ya hata hivi vya awamu ya kwanza. Viwe kama vya joburg au cape town au sasa kule Dakar. Viwe na AC , TV mabango ya matangazo ya umeme. Garama sio tatizo, wangeweka mabasi ya gesi. Garama zingeshuka sana na hivi vitu vingine wangeweza kufanya kabisa.

Tatizo maono tu!
Mie Nangoja mwekezaji wa Dubai! Maana nilishtuka DART kununuliwa kule Dubai!
 
Watu mnatakiwa kujua data analysis sio kusoma tu data na kuruka nayo, Kunyaland na Uganda wanaimport vitu vingi ambavyo Tanzania tunazalisha ndani hatuwezi kukimbizana nao kwenye wingi wa mzigo wanaouingiza tu bila kuzingatia wanaingiza nini!

Hivi vyote kwa Tanzania tumejitosheleza lakini Kunyaland wanaimport


View: https://twitter.com/ricetex/status/1712902004434260036?t=mCOP5_Sx8q1Vfy2mRDHGnA&s=19



View: https://twitter.com/IrriHub/status/1195251798531100672?t=zAgZC9C6IhKqig7wGoO4mg&s=19

Aisee, aloo...! umetusanua, Mkuu safi sana sijawahi fikiria namna hii. 👏🏾👏🏾👏🏾
 
Huu ujinga mmeanza nyie na iko sponsored na serikali yenu na hakuna Mtanzania yoyote atapoteza muda wake kuwajibu.
Yan sisi tusifanye maendeleo eti tunawaonea wivu,kupiga hatua kwetu eti tunawaonea wivu 😀,hamna jirani mnafiki kama hawa kundu0,hawa ndio wale majirani jirani akinunua gari ananuna
 
Back
Top Bottom