Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na maelezo ya mkurugenzi wa bandar 2022 bandari ya dar imehudumia tons 21.4m, by 2025 tuwe tushahudumia tons 25m kwa dar pekee

Alaf usifkiri hzo no sijui za 34tons kwa mombasa ni za kweli, ni zakupika, coz kwa mtu mwenye akili huwez kwenda mbio ukaumia kwa mtu anaehudumia tons 25 wakat ww unahudumia tons 34, inaonesha kua kuna siri kubwa imejificha kwenye numbers na siku zote numbers hua hazidanganyi lazma zitakuumhua tu
Weka takwimu za January -Disemba 2023.

Kwa kulinganisha takwimu za July-Diessmba 2023 ni tani 17 so by the end of year June 30 2024 tunaweza kufikia tani mil.30 plus.
 
Kumbe uwezo tunao wakuanza taratibu kwann ilikua tumpe mchina kwa mkataba ule??😅😅😅
Mchina anahitajika mzee usiangalie tu ujenzi wa Bandari bali viwanda ambavyo vinge-support hiyo Bandari! Kingine aliyetaka kutoa hiyo $10 bln ni lazma angeipa upendeleo hiyo Bandari. Inatakiwa tuendelee kukomae nae kwenye majalidiano arudi na good deal kwetu!
 
Weka takwimu za January -Disemba 2023.

Kwa kulinganisha takwimu za July-Diessmba 2023 ni tani 17 so by the end of year June 30 2024 tunaweza kufikia tani mil.30 plus.
Na mimi nataka nione takwimu za January- December. Au tuone takwimu za January - July ilitufanye maths wenyewe. 17 .kuna uwezekano tukawa tunapiga around 30m tonnes.
 
Wewe jamaae Don YF uliwahi kusema kwamba watakaoshuhudia ujenzi wa huu mji ni vitukuu vyetu 🤣🤣 ona sasa hata miaka miwili haijaisha 👇
GDaz_ciWYAAsA4R.jpeg
GDaz_cjWUAAlWkL.jpeg
GDaz_clXEAACjI4.jpeg
 
Vile vituo vilikua ni vibovu mzee kituo kama stoo ya mahindi ndio maana brt hawamu ya 3 wamerudi kwenye dizaini ile ya zamani ya awamu ya kwanza
Mimi nilitegemea vingekiwa bora zaidi ya hata hivi vya awamu ya kwanza. Viwe kama vya joburg au cape town au sasa kule Dakar. Viwe na AC , TV mabango ya matangazo ya umeme. Garama sio tatizo, wangeweka mabasi ya gesi. Garama zingeshuka sana na hivi vitu vingine wangeweza kufanya kabisa.

Tatizo maono tu!
 
Mchina anahitajika mzee usiangalie tu ujenzi wa Bandari bali viwanda ambavyo vinge-support hiyo Bandari! Kingine aliyetaka kutoa hiyo $10 bln ni lazma angeipa upendeleo hiyo Bandari. Inatakiwa tuendelee kukomae nae kwenye majalidiano arudi na good deal kwetu!
Anahitajika kwa win win situation sio anahitajika alaf baadae muambiwe hamuruhusiwi kufanya ukarabati wowote kwenye bandari zote za nchi hii
 
Mzee utakua na utani na sisi, Bongo niwe na pesa hizo eti nipange? Mapori kila sehemu, na viwanja vingi nje ya mji, nasimamisha mjengo wangu bila bugudha.

Najua utakuja sema kuhusu magomeni kota, ila ukichunguza sana unaweza kuta ni just investment.

Utatolea mfano nchi za nje, ila nchi za nje ardhi inakua adimu, hivyo kwa anayemiliki nyumba yake tu kuonekana maarufu.

Moja ya sababu ilifanya tusiwe na kota ni hiyo, yaani naweza poromosha mjengo wangu mkaliii nikaishi bila kero yoyote na ardhi ipoo. Eti nikapange.
So rich Arabs and Chinese with mansions back home wakinunua expensive apartments new York , monaco, London etc ni mafala kama wewe ?
Kwanza hapo kwenu mansions zimezingirwa na uswazi tupu,bila tarmac roads too.
 
So rich Arabs and Chinese with mansions back home wakinunua expensive apartments new York , monaco, London etc ni mafala kama wewe ?
Kwanza hapo kwenu mansions zimezingirwa na uswazi tupu,bila tarmac roads too.
Anayeongea hivi ni mkenya alafu anayeambiwa ni Mtanzania, yani Kenya hakuna infrastructure yoyote ya maana ambayo haipo Tanzania lkn kuna infrastructures kibao zipo Tanzania na hazitakuwepo Kenya kwa miaka 500 ijayo na bado mtu anamtusi mwenzake mwenye exposure, ukenya ni laana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom