ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,434
- 88,521
Hapo niliposema magomeni umeona? Sijataja investment?So rich Arabs and Chinese with mansions back home wakinunua expensive apartments new York , monaco, London etc ni mafala kama wewe ?
Kwanza hapo kwenu mansions zimezingirwa na uswazi tupu,bila tarmac roads too.
2024 tunaeza kufika 23m au 24m tons kwa dar pekeeKwa kuwa taarifa zinatoka Kwa Kufuatia kalenda ya mwaka wa Fedha wa Serikali ni sawa.
Ngoja tusubirie by June 2024 tuone itakuwa mzigo kiasi gani.
Ngoja tuone2024 tunaeza kufika 23m au 24m tons kwa dar pekee
Leo Kule twitter wakenya wameamua kuwaambia ukweli..
View: https://twitter.com/Eddyshan4/status/1745037128550293690
Leo Kule twitter wakenya wameamua kuwaambia ukweli..
View: https://twitter.com/Eddyshan4/status/1745037128550293690
😁😁😁😁Huu ujinga mmeanza nyie na iko sponsored na serikali yenu na hakuna Mtanzania yoyote atapoteza muda wake kuwajibu.
Watu mnatakiwa kujua data analysis sio kusoma tu data na kuruka nayo, Kunyaland na Uganda wanaimport vitu vingi ambavyo Tanzania tunazalisha ndani hatuwezi kukimbizana nao kwenye wingi wa mzigo wanaouingiza tu bila kuzingatia wanaingiza nini!Kwa hizo hesabu ndio kusema by June report Dar Port tayari itakuwa na 34 mln tones ambazo wamekuwa wanalingia miaka na mikaka.
Watu mnatakiwa kujua data analysis sio kusoma tu data na kuruka nayo, Kunyaland na Uganda wanaimport vitu vingi ambavyo Tanzania tunazalisha ndani hatuwezi kukimbizana nao kwenye wingi wa mzigo wanaouingiza tu bila kuzingatia wanaingiza nini!
Hivi vyote kwa Tanzania tumejitosheleza lakini Kunyaland wanaimport
View: https://twitter.com/ricetex/status/1712902004434260036?t=mCOP5_Sx8q1Vfy2mRDHGnA&s=19
View: https://twitter.com/IrriHub/status/1195251798531100672?t=zAgZC9C6IhKqig7wGoO4mg&s=19