The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
RIP Magu 🔥🔥😍😘
RIP Magu 🔥🔥😍😘
Kivevele jinga sana, halijawahi kueleweka, leo kaanzisha uzi anaiponda Mbeya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukitaka kujua ni chuki na nchi yake, yeye alikuwa anaponda kila kitu cha Tanzania hadi kwenye huu uzi alikuwa upande wa jirani.
Yaani mtu akufanye uchukie nchi yako, utakuwa na ufinyu wa akili.
Hii miradi yote mikubwa alikuwa anaziponda zote ati hazina faida kiuchumi lakini sasa hivi ni bingwa wa kuzisifia zote. 😂😂😂
Pesa za ndani 😁
Hiyo ipo na floors ngapi?You claim it is 75,000 sq.m. BBS mall is 130,000 sq.m. so how's it the largest?
Kwa hiyo kule chumbani Huwa nakufanyaje Hadi ushangae?Hivi ChoiceVariable na Geza Ulole wana mahusiano?
Nilwahi kuandika hapa kuelezea jiografia ya nyanda za juu kusini ikiwa ni chanzo cha maji ya bwawa na kwa nini hakutakuwa na shida ya kulijaza, sasa huu ni ushahidi. Hakuta kuwa na shida ya maji hapo labda wafanye sabotage.Walipinga mpaka JNHPP kisa reservoir yake eti litafanya miti mingi ikatwe na hatimae pawe jangwa mazingira yaharibike, hivi em tumuulizeni leo yeye Pamoja na kipara na nape, hapa ni jangwa? 🤣🤣🤣
View attachment 2866004
Mi nashangaa watu wanaosema ati Majaliwa ni mrithi wa Magufuli na sijawahi kuona mahali ka-take risk dhidi ya ubadhirifu! Ni maigizo kwangu.Eti mtu kasababisha hasara ya mabillion anaishia kufokewa tu
Mtera na kidatu nasikia mvua za march last year ziliyajaza yale mabwawa full,kufika june au july kuna miamba miwili ikataka yale maji yafunguliwe,tanesco walilikataa hilo wazo ila jamaa nasikia wakafosi kwa kutumia vyeo vyao nyakati hizo basi maji yakafunguliwa na ndio huu mgao unaoendelea hadi sasa nasikia sababu ni hiyoNilwahi kuandika hapa kuelezea jiografia ya nyanda za juu kusini ikiwa ni chanzo cha maji ya bwawa na kwa nini hakutakuwa na shida ya kulijaza, sasa huu ni ushahidi. Hakuta kuwa na shida ya maji hapo labda wafanye sabotage.
Bro umeenda kupima ukubwa wa plot.? 🤣🤣🤣🤣🤣Wabongo mnakuanga mafala tu, nani aliwadanganya hio mall ni biggest in East Africa. 😂 😂 😂 😂 Two Rivers Mall, the building alone ni kubwa kuliko the whole compound ya hio EACLC. Na usisahau two rivers ikona more floors than hio mall yenu ya only two floors.
View attachment 2865823
View attachment 2865824
Ni BBS ipi unazungumzia.?🤣🤣🤣🤣You claim it is 75,000 sq.m. BBS mall is 130,000 sq.m. so how's it the largest?