Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unasifia sana kazi nzuri ya mama, je, unamaoni gani kuhusu serikali kuacha kuchangamkia dawa za Cuba kwenye hospitali zake, mpaka watu wanaambiwa waende hospitali ya Kairuki? Ni kweli serikali ya mama inawapenda wananchi wake wanasoubuliwa na magojwa kama ya ini, kansa au kisurkari? Cuba wanazo dawa...
Kama Cuba wana madawa kweli mbona wasifuate Taratibu kama waingizaji wote wa madawa ikiwemo na kulipa kodi? Changanya na za kwako!
 

Hivi Aweso ameshindwa nini kuweka kwenye taarifa za Kila robo visima vilivyochimbwa na hii kitambo ili mameneja ambao hawafanyi kazi kama huyu awatimue?

Au Kwa kuwa sio kazi ya mkandarasi Haina kitu kidogo ndio ame ignore? Huu ni upuuzi.Natarajia Aweso amuondoe huyu bwana kama alivyofanya Kwa wengine.

Mitambo hii awali walikuwa wanasingizia Bajeti hawana walipobanwa nimeona inafanya kazi Tunduma,Dodoma nk

View: https://www.instagram.com/reel/C1aASiBo4Ia/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

Hii biashara ya kuchekeana na blaa blaa zisizo na mwisho kwenye mambo serious ikomeshwe mara Moja.Fukuza hao wanakwepa kutumia hiyo Kwa sababu Haina ulaji.
 
Nina uhakika hizi pikipiki haziwaki!
😁😁😁😁😁 Kimsingi hii Nchi Ina matatizo makubwa kwenye namna ya Kusimamia Watumishi wa ngazi ya kuanzia Mkoani kushuka chini.

Pili hata wanaopatika kwenye nafasi za Uongozi kwenye level za Wakuu wa idara ni shida tupu.Kuna video clip Moja RC Mtandao wa Mara alikutana na kadhia kama hiyo ya magari,Pikipiki na trekta kuharibika baada ya kuhoji akaambiwa eti pesa za Kutengeneza hazipo pesa yenyewe Sasa hata mil.5 haifiki.Akatoa amri wakatafuta pesa na wakatengeneza.

So ukienda mfano Polisi, Halmashauri nk utakuta magari mengi snaa Yako grounded Kwa sababu za kijinga kijinga kama hizo.

Sasa jiulize PM au Rais au Waziri atazunguka Nchi nzima Kwa Ajili ya mambo hayo? Kuna haja ya kubadili namna ya uwajibikaji kuanzia level ya Mkoa Hadi Wilaya Ili watimize wajibu wao vizuri.
 
Mchongo ndio hivyo tena, East Africa commercial and logistics center render 👇View attachment 2865656progress 👇View attachment 2865658View attachment 2865660View attachment 2865662. We mbwa Nicxie Kimbg njoeni huku mjifunze the biggest shopping mall in East Africa vile inakaa
Wabongo mnakuanga mafala tu, nani aliwadanganya hio mall ni biggest in East Africa. 😂 😂 😂 😂 Two Rivers Mall, the building alone ni kubwa kuliko the whole compound ya hio EACLC. Na usisahau two rivers ikona more floors than hio mall yenu ya only two floors.

Screenshot 2024-01-09 043638.jpg

Screenshot 2024-01-09 042713.jpg
 
Back
Top Bottom