Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2023 Kunyaland iliimport 250k tons of sugar wakati Tanzania iliimport only 30k tons, Kunyaland iliimport 500k tons of rice wakati Tanzania iliimport 0k tons, halafu watakuambia wao ndio most industrialized country in EA na wao ni hardworkers Tanzanians ni lazy na bandari ya Mombasa inapokea mizigo mingi kuliko Dar 😂😂😂
20240109_060227.jpg


20240109_061421.jpg



View: https://twitter.com/A_Emi_Nansereko/status/1312460674555998213?t=0e2HQb0p5UQ2YsicPADWCw&s=19


View: https://twitter.com/ricetex/status/1712902004434260036?s=19
 
😁😁😁😁😁 Kimsingi hii Nchi Ina matatizo makubwa kwenye namna ya Kusimamia Watumishi wa ngazi ya kuanzia Mkoani kushuka chini.

Pili hata wanaopatika kwenye nafasi za Uongozi kwenye level za Wakuu wa idara ni shida tupu.Kuna video clip Moja RC Mtandao wa Mara alikutana na kadhia kama hiyo ya magari,Pikipiki na trekta kuharibika baada ya kuhoji akaambiwa eti pesa za Kutengeneza hazipo pesa yenyewe Sasa hata mil.5 haifiki.Akatoa amri wakatafuta pesa na wakatengeneza.

So ukienda mfano Polisi, Halmashauri nk utakuta magari mengi snaa Yako grounded Kwa sababu za kijinga kijinga kama hizo.

Sasa jiulize PM au Rais au Waziri atazunguka Nchi nzima Kwa Ajili ya mambo hayo? Kuna haja ya kubadili namna ya uwajibikaji kuanzia level ya Mkoa Hadi Wilaya Ili watimize wajibu wao vizuri.
Mama yako alisema hao watu ni watu wazima hawatakiwi kufokewa, wanajielewa.. (yeye anaandika kwa kalamu, ndo tunamsubir awe anashika kalamu kwa watumishi wazembe nchi nzima, pale anapowagundua)
na wamepewa ruhusa kula sawa na urefu wa kamba zao.

Unatapatapa wakat unajua shida ilipo
 
Mama yako alisema hao watu ni watu wazima hawatakiwi kufokewa, wanajielewa.. (yeye anaandika kwa kalamu, ndo tunamsubir awe anashika kalamu kwa watumishi wazembe nchi nzima) na wamepewa ruhusa kula sawa na urefu wa kamba zao.

Unatapatapa wakat unajua shida ilipo
Alisema lini na wapi?
 
Atafoka Kwa kalamu shida Iko wapi? Yaani pale PM ilikuwa ni kuchukua maamuzi badal ya drama nyingi za kwenye camera.

Aweso Huwa hana drama sana,subiria akienda Lindi utasikia tuu jmaa hana kazi.

Sasa PM huwa anapanda maelezo meengi ,Kila sehemu kwenye shida lazima drama
Unachekesha sana.. so lawama saiz amebebeshwa PM. Yan hata hujui nn nataka kumaanisha.
Nakutakia (kazi) udalali mwema. Mungu akujalie mkono uingize kitu mdomon
 
Unachekesha sana.. so lawama saiz amebebeshwa PM. Yan hujui hata nataka kumaanisha.
Nakutakia (kazi) udalali mwema. Mungu akujalie mkono uingize kitu mdomon
Apunguzw drama,fuatilia maeneo yake yote mpaka aweke drama ndio achukue hatua au anaacha hivyo hivyo.

Kule Swax,Katavi,Kigoma kote ni drama Aweso,Bashungwa au Mchengerwa Huwa hawapepesi macho.
 
Atafoka Kwa kalamu shida Iko wapi? Yaani pale PM ilikuwa ni kuchukua maamuzi badal ya drama nyingi za kwenye camera.

Aweso Huwa hana drama sana,subiria akienda Lindi utasikia tuu jmaa hana kazi.

Sasa PM huwa anapanda maelezo meengi ,Kila sehemu kwenye shida lazima drama
Unajua maana ya kufoka kwa kalamu??🤣🤣
 
Wabongo mnakuanga mafala tu, nani aliwadanganya hio mall ni biggest in East Africa. 😂 😂 😂 😂 Two Rivers Mall, the building alone ni kubwa kuliko the whole compound ya hio EACLC. Na usisahau two rivers ikona more floors than hio mall yenu ya only two floors.

View attachment 2865823
View attachment 2865824
The largest in terms of total space area of the buildings and not the plot!
 
Back
Top Bottom