Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuliambiwa hizi meli zinareroute to Mombasa sababu ya congestion Dar port, sasa mbona haziishi? 😁

20240108_092003.jpg
 
Unasifia sana kazi nzuri ya mama, je, unamaoni gani kuhusu serikali kuacha kuchangamkia dawa za Cuba kwenye hospitali zake, mpaka watu wanaambiwa waende hospitali ya Kairuki? Ni kweli serikali ya mama inawapenda wananchi wake wanasubuliwa na magojwa kama ya ini, kansa au kisurkari? Cuba wanazo dawa...
Mwambieni yule Balozi wenu afuate utaratibu.

Hata hivyo tuna wanafunzi Wetu Cuba huko wapate utaalamu waje kujenga Tanzania
 

Attachments

  • IMG_20240108_115237_005.jpg
    IMG_20240108_115237_005.jpg
    462.1 KB · Views: 6
  • IMG_20240108_115239_778.jpg
    IMG_20240108_115239_778.jpg
    438.6 KB · Views: 6
  • IMG_20240108_115245_268.jpg
    IMG_20240108_115245_268.jpg
    619 KB · Views: 7

View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1744120705669632414?t=W-J9bEHESG9hhYdniQq-dw&s=19

Bara tuna fukwe nzuri kuanzia Mtwara Hadi Tanga Kwa nini hatuziendelezi?

Uliedit post yako? Ulisema Zanzibar tunaitegemea kwa watalii kisa ina miruko mingi ya ndege lakini hukujua Bara inaongoza kwa idadi kubwa ya watalii na watalii wengi wanaoingia Zanzibar wanaenda Bara kwaajili ya safari, kiwanja cha ndege cha Arusha kinahudumia miruko mingi ya Zanzibar to Seronera via Arusha, pia Nyerere NP inapokea flights nyingi zaidi kutoka Zanzibar hii yote inafanya mtalii aspend a lot kwenye hizo movements Tanzania inajikuta imeingiza pesa zaidi ya mara 5 kwa mgeni mmoja

Screenshot_20240108-144157.jpg
 
Back
Top Bottom