Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
lete link. usilete ufala.Hii hapa haya niskie kilio tena😀😀😀😀😀
View attachment 636662 View attachment 636663 View attachment 636664
ii ni renovation of the old Tazara railway
lete link. usilete ufala.Hii hapa haya niskie kilio tena😀😀😀😀😀
View attachment 636662 View attachment 636663 View attachment 636664
Kwa standard ya Kenya mnaweza kuita reli, ila soon utakubaliana na mimi kwamba hiyo sio reli na wala hizo mlizonunua sio trains, kitu mlichonacho ni vituo tu ndivyo vipo katika international standard, huo ndiyo ukweli.asante kwa kufululiza upumbavu....reli ipo na inaendelea kupaa mbele😀😀😀focus on your rail ambayo kwa sasa ni vumbi tupu kule...
Mwendawazimu wewe angalia old railway iko pembeni kushoto ya hii SGRlete link. usilete ufala.
ii ni renovation of the old Tazara railway
kalale tu...umeishiwa...reli ya kisasa ni ile tunaita standad gauge...ya kenya ni standard gauge hata ya tz ni hio hio tu...sijui ulisoma kichakani au? haya jifurahishe kidogo mshamba wa Tandale..Kwa standard ya Kenya mnaweza kuita reli, ila soon utakubaliana na mimi kwamba hiyo sio reli na wala hizo mlizonunua sio trains, kitu mlichonacho ni vituo tu ndivyo vipo katika international standard, huo ndiyo ukweli.
Loan unapewa na uwezo wako wakulipaAliekwambia nani??? We unafkiri nchi gani inapenda kukopa kwa interest kubwa tumia tu akili😀😀😀
Au vile wachina wamewanyoosha unataka na sisi tuwe hvo
lete link. usilete ufala.
ii ni renovation of the old Tazara railway
Wanaotaka kutupa loan wako wengi akiwemo mchina ,AFDB , exim bank etc lakin tunaangalia yule mwenye interest ndogo hatuvamii ovyoovyo😀😀😀Loan unapewa na uwezo wako wakulipa
Hii railway inakaa kiyenyeji
Ulikua unasema mtajenga bila kutumia loan....msee mbona contradictionWanaotaka kutupa loan wako wengi akiwemo mchina ,AFDB , exim bank etc lakin tunaangalia yule mwenye interest ndogo hatuvamii ovyoovyo😀😀😀
Kama nyie mlipigwa na wachina usifkiri na sisi itakua hvo hio sahau
Wanaotaka kutupa loan wako wengi akiwemo mchina ,AFDB , exim bank etc lakin tunaangalia yule mwenye interest ndogo hatuvamii ovyoovyo😀😀😀
Kama nyie mlipigwa na wachina usifkiri na sisi itakua hvo hio sahau
Bado inajengwa budaa yani hapo ndio kama wameanza bado ujenzi unaendelea😀😀😀😀Hii railway inakaa kiyenyeji
hio ndio reli ya kisasa sio...sijaona tofauti na ile yetu..kwanza yetu imekaa boa kuliko hii kienyeji kinyeji...Bado inajengwa budaa yani hapo ndio kama wameanza bado ujenzi unaendelea😀😀😀😀
Katika haya maeneo ninaweza kukufundisha hadi upate PhD, neno standard gauge linamaanisha distance toka taruma hadi taruma iwe sawa ili locomotive ziweze kuwiana, ila modernity tunamaanisha mambo tofauti na huo umbali toka taruma hadi taruma, modernity includes;kalale tu...umeishiwa...rli ya kisasa ni ile tunaita standad gauge...ya kenya ni standad gauge hata ya tz ni hio hio tu...sijui ulisoma kichakani au?haya jifuahsihe kidogo mshamba wa Tandale
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio maana unaona km 712 tumejenga kwa pesa zetu budaa mpaka sasa tushatoa 3.16b usd😀😀😀😀 na bado tunaendelea na mchakatoUlikua unasema mtajenga bila kutumia loan....msee mbona contradiction
😀😀😀😀😀 Hata miez 6 haijatimia unatoa povu kias hichi mulifkiri tunatania😛😛😛hio ndio reli ya kisasa sio...sijaona tofauti na ile yetu..kwanza yetu imekaa boa kuliko hii kienyeji kinyeji...![]()
ama hii ni ya dhahabu?![]()
![]()
![]()
Kwakua wewe ndio mgawaji pesa😀😀😀😀😀
ukweli ni kwamba pesa hazipo..usifikiri reli shillingi mbili ndugu![]()
Mmejenga wapi? Ata 1 km bado....by April 1 year itakua doneNdio maana unaona km 712 tumejenga kwa pesa zetu budaa mpaka sasa tushatoa 3.16b usd😀😀😀😀 na bado tunaendelea na mchakato
🙁🙁🙁 elimu yako ndugu??Katika haya maeneo ninaweza kukufundisha hadi upate PhD, neno standard gauge linamaanisha distance toka taruma hadi taruma iwe sawa ili locomotive ziweze kuwiana, ila modernity tunamaanisha mambo tofauti na huo umbali toka taruma hadi taruma, modernity includes;
1)Diesel vs electrical
2)jointed vs continuous
3)Automatic control system vs non automatic
4)High speed vs low speed
5)Modern locomotives and wagons vs old ones(Like Kenya
6)High capacity vs low capacity
Any question?
Hvi wewe mm nimetoka kuonesha nini sasa hvi alaf unauliza nn tena😀😀😀😀Mmejenga wapi? Ata 1 km bado....by April 1 year itakua done