Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwakua wewe ndio mgawaji pesa😀😀😀😀😀
pesa kama zipo zipo...kama hazipo hazipo...sio lazma niwe mgawaji...na ninaelewa kuwa rais Magu alikuwa akimlamba lamba Zuma matako akimwambia amkopeshe pesa toka BRICS...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Usijidhalilishe humu ndani nimekuambia, standard gauge maana yake ni umbali toka taruma moja la reli hadi lingine urefu wake ndiyo huo ulioutaja, yaani width. Uliza lingine
 
Hvi wewe mm nimetoka kuonesha nini sasa hvi alaf unauliza nn tena😀😀😀😀

By april next year ndio mwaka sasa wewe shida yako kujenga au nini
leta reli ya maana...sio picha za reli kienyeji iliyo watu washamba wamesimama kupigwa picha kana kwamba hawajawahi ona reli
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Ila hivyo nilivyokutajia ndivyo vinaifanya reli iwe ya kisasa, kwa maana hiyo unaweza kuwa na standard gauge railway lakini sio ya kisasa kama ilivyo ya Kenya na Nigeria,
 
Usijidhalilishe humu ndani nimekuambia, standard gauge maana yake ni umbali toka taruma moja la reli hadi lingine urefu wake ndiyo huo ulioutaja, yaani width. Uliza lingine
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
just quote me...hivi nikama umeaibika pole
emoji23.png
emoji23.png
standard gauge ni kipimo cha upana wa reli tu...hamna mambo ya trains, speed na kadhalika...saa zingine fanya rsarch kwanza ndugu...sio kujiabish hapa
emoji23.png
emoji23.png
 
pesa kama zipo zipo...kama hazipo hazipo...sio lazma niwe mgawaji...na ninaelewa kuwa rais Magu alikuwa akimlamba lamba Zuma matako akimwambia amkopeshe pesa toka BRICS...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Sio bricks pekee mabenki mengi sana yako tayar kutoa pesa ila tunatafuta sehem yenye interest ndogo hatutaki kujiumiza bure tunatafuta soft loan😀😀😀😀

Pamoja na hayo still tumeweza kujenga kwa pesa zetu 712km cost yake ni 3.16 b usd
 
Sio bricks pekee mabenki mengi sana yako tayar kutoa pesa ila tunatafuta sehem yenye interest ndogo hatutaki kujiumiza bure tunatafuta soft loan😀😀😀😀

Pamoja na hayo still tumeweza kujenga kwa pesa zetu 712km cost yake ni 3.16 b usd
leta kandarasi sio ujinga hapa unaniimbia..
emoji23.png
emoji23.png
.sisi tulipo pewa loan na Uchina tulikuwa na kandarasi iliopigwa sign na kuwekwa kwa Kenya Gazette...leta hio kandaasi ya benki iliyoidhinisha mkopo...sio mambo ya kuomba omba Jacob Zuma
emoji23.png
emoji23.png
 
Kweli mwaka huu wakenya wanatoa mapovu sijawah kuona mwaka wakenya wanalia kama huu😀😀😀😀

Aisee siamini kama tanzania imewajambisha wakenya hvi😛😛😛😛
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
just quote me...hivi nikama umeaibika pole
emoji23.png
emoji23.png
standard gauge ni kipimo cha upana wa reli tu...hamna mambo ya trains, speed na kadhalika...saa zingine fanya rsarch kwanza ndugu...sio kujiabish hapa
emoji23.png
emoji23.png
Nadhani nimekuelewesha katika text yangu ya pili, sio kila standard gauge railway ni modern, modernity unategemea na hivyo vigezo nilivyokupa, the higher the speed, capacity, automatic control and up to date locomotives and wagons, the more it becomes modern
 
leta kandarasi sio ujinga hapa unaniimbia..
emoji23.png
emoji23.png
.sisi tulipo pewa loan na Uchina tulikuwa na kandarasi iliopigwa sign na kuwekwa kwa Kenya Gazette...leta hio kandaasi ya benki iliyoidhinisha mkopo...sio mambo ya kuomba omba Jacob Zuma
emoji23.png
emoji23.png
Exim yuko tayar kutoa, china yupo tayar , AFDB yupo tayari so nakushangaa unachoongea 😀😀😀
Sisi hatuchukui mikopo ovyo ndio maana ukifatilia mikopi mingi tanzania inatoka world bank kwa sababu interest yake ni ndogo na pia inachukua miaka mingi kurudisha

Narudia kukwambia mpaka sasa hatujachukua mkopo tumetoa pesa zetu wenyewe cash
 
Nadhani nimekuelewesha katika text yangu ya pili, sio kila standard gauge railway ni modern, modernity unategemea na hivyo vigezo nilivyokupa, the higher the speed, capacity, automatic control and up to date locomotives and wagons, the more it becomes modern
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kichaka primary school Tandale...rudi kule kwa mwalimu mkuu ukaitishe karo...
capture-png.636699
 
Exim yuko tayar kutoa, china yupo tayar , AFDB yupo tayari so nakushangaa unachoongea 😀😀😀
Sisi hatuchukui mikopo ovyo ndio maana ukifatilia mikopi mingi tanzania inatoka world bank kwa sababu interest yake ni ndogo na pia inachukua miaka mingi kurudisha
nilidhani ulisema mmekataa wachina
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mbona unajichanganya?
emoji23.png
emoji23.png
kisha nikakwambia leta kandarasi rasmi...mambo ya sijui benki wamejitolea na hakuna kandarasi..
emoji23.png
emoji23.png
unafikiri hapa tunazungumzia kukopa nyanya pale kwa mama mboga kisha unamlipa baada ya wiki?
emoji23.png
emoji23.png
 
nilidhani ulisema mmekataa wachina
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mbona unajichanganya?
emoji23.png
emoji23.png
kisha nikakwambia leta kandarasi rasmi...mambo ya sijui benki wamejitolea na hakuna kandarasi..
emoji23.png
emoji23.png
unafikiri hapa tunazungumzia kukopa nyanya pale kwa mama mboga kisha unamlipa baada ya wiki?
emoji23.png
emoji23.png
Hvi wewe unanielewa kiswahili nakwambia mpaka sasa tumetoa pesa zetu wenyewe 3.16b usd kujenga 712km kwa pesa zetu hakuna mkopo😀😀😀😀😀😀

Usijifanye huelewi wakat unaelewa sana sasa angalia mchina alivosumu na alichowafanya

Kawajengea reli 447km kwa gharama ya 3.8b usd plus interest ya over 6% alaf amewapa muda wa miaka 4 tu murudishe pesa....mutatia akili safari hiii
 
Hvi wewe unanielewa kiswahili nakwambia mpaka sasa tumetoa pesa zetu wenyewe 3.16b usd kujenga 712km kwa pesa zetu hakuna mkopo😀😀😀😀😀😀

Usijifanye huelewi wakat unaelewa sana sasa angalia mchina alivosumu na alichowafanya

Kawajengea reli 447km kwa gharama ya 3.8b usd plus interest ya over 6% alaf amewapa muda wa miaka 4 tu murudishe pesa
pesa hizo mlizozitoa toka seikali ya Tz zipo wapi?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
leta data hapa basi nione....3B mnatoa wapi nchi LDC?
emoji23.png
emoji23.png
hata kuokota ushuru mmeshindwa pesa mtatoa wapi?
emoji23.png
emoji23.png
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kichaka primary school Tandale...rudi kule kwa mwalimu mkuu ukaitishe karo...
capture-png.636699
Ninajua umeelewa ninachokuambia ila unataka kulazimisha kwamba reli yenu na yetu ni sawa, hazipo sawa, zote ni.standard gauge railways lakini yenu ni old and not modern one, wakati ya Tanzania ni modern one with bullet trains, usitake kulazimisha zionekani zinafanana, huo ndiyo ukweli, yenu ni old and diesel engine standard gauge railway
 
pesa hizo mlizozitoa toka seikali ya Tz zipo wapi?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
leta data hapa basi nione....3B mnatoa wapi nchi LDC?
emoji23.png
emoji23.png
hata kuokota ushuru mmeshindwa pesa mtatoa wapi?
emoji23.png
emoji23.png
Safarii hii unatoa povu sana😀😀😀😀😀😀
Magufuli chumaa😛😛😛😛
 
Ninajua umeelewa ninachokuambia ila unataka kulazimisha kwamba reli yenu na yetu ni sawa, hazipo sawa, zote ni.standard gauge railways lakini yenu ni old and not modern one, wakati ya Tanzania ni modern one with bullet trains, usitake kulazimisha zionekani zinafanana, huo ndiyo ukweli, yenu ni old and diesel engine standard gauge railway
kakojoe kalale..kesho urauke ukaitishe karo zako
emoji23.png
emoji23.png
 
Back
Top Bottom