ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tuna strugle kutafuta pesa zetu wenyewe na ndio maana 712km mpaka sasa zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe na hatuna mkopo na tumetoa cash 3.16 b usd😀😀😀
Tuna strugle kutafuta pesa zetu wenyewe na ndio maana 712km mpaka sasa zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe na hatuna mkopo na tumetoa cash 3.16 b usd😀😀😀
Soma source hapo chini world bank...hii nayo utajinyoga tu
Tanzania: Magufuli Courts Zuma to Access BRICS Money for Rail ProjectsTuna strugle kutafuta pesa zetu wenyewe na ndio maana 712km mpaka sasa zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe na hatuna mkopo na tumetoa cash 3.16 b usd😀😀😀
AfDB to finance Tanzania's standard gauge railway | TradeMark East AfricaTuna strugle kutafuta pesa zetu wenyewe na ndio maana 712km mpaka sasa zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe na hatuna mkopo na tumetoa cash 3.16 b usd😀😀😀
Ndio mkopo anatafuta tena soft loan lakini kaonesha ujasiri mkubwa wakutoa 3.16 billion usd cash kwa 712 km for phase one and two 😀😀😀
Kwani hii source ameongea nani tena nimekupa fact ya oct 2017 my friend😀😀😀😀Soma source hapo chini world bank...hii nayo utajinyoga tu
hakuna mtu anachukia tz huku ni nyinyi mnaogopa ukweliHuyo mwache haamini. Si unajua nyang'aus wanavyoichukia TZ.
Namjua vzr huyo wala hanipi tabu😀😀😀😀Huyo mwache haamini. Si unajua nyang'aus wanavyoichukia TZ.
soft loan sio loan???????????????????????????????????Ndio mkopo anatafuta tena soft loan lakini kaonesha ujasiri mkubwa wakutoa 3.16 billion usd cash kwa 712 km for phase one and two 😀😀😀
Tanzania itakutoa jasho kaka 😛😛😛
Sisi hatukopi ovyo ovyo tunatafuta soft loan kama hakuna tunaachana nayo ndio maana mpaka sasa hvi hatujakopa pesa yoyote kwaajili ya SGR tumetoa cash from our pocket 3.16b usd for 712km😀😀😀hakuna mtu anachukia tz huku ni nyinyi mnaogopa ukweli
Hatujakopa sasa 😀😀😀😀 tumetoa cash 3.16b usd for 712km na ujenzi uko motosoft loan sio loan???????????????????????????????????
Wewe huoni magazeti yenu yanavyofanya propaganda za kuichafua Tanzania. Huo ni ujinga. Kila kitu kikifanyika tanzania mnaweka kwenye magazeti yenu kuwa chenu mpaka mnadanganya UN.hakuna mtu anachukia tz huku ni nyinyi mnaogopa ukweli
Kipindi tanzania imegundua gas walienda kuwadanganya wazungu kua gas iko kenya wao wakitegemea uwakala sasa wazungu walipokuja kenya kuangalia hio gas wakakuta hakuna, kumbe nia yao wawe agents sasa wakagonga mwamba kwa tanzania 😀😀😀😀Wewe huoni magazeti yenu yanavyofanya propaganda za kuichafua Tanzania. Huo ni ujinga. Kila kitu kikifanyika tanzania mnaweka kwenye magazeti yenu kuwa chenu mpaka mnadanganya UN.
Huyo mwache haamini. Si unajua nyang'aus wanavyoichukiaTZ.
Kumbe gazeti la kenya😀😀😀😀😀
^screenshot of an artikel from T-Zuzu blog... The Citizen
loan kuna limit kama hauna assets za kutosha inabidi utafute soft loanSisi hatukopi ovyo ovyo tunatafuta soft loan kama hakuna tunaachana nayo ndio maana mpaka sasa hvi hatujakopa pesa yoyote kwaajili ya SGR tumetoa cash from our pocket 3.16b usd for 712km😀😀😀
Aliekwambia nani??? We unafkiri nchi gani inapenda kukopa kwa interest kubwa tumia tu akili😀😀😀loan kuna limit kama hauna assets za kutosha inabidi utafute soft loan