Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida iliyokuwepo ccm hawapo care na hii nchi,hawajali kitu kinaitwa data,wao ili mradi familia zao mambo yanaenda,imagine zambia,malawi na east congo 80% mizigo yao wanaipitishia dar port,kuna burundi na wenyewe % kubwa wanatumia dar port,lakini data zinaonyesha bado tunashindana na kunyanduana port,border zote tulizopakana na kunyan ni wakunyan ndio wanategemea kila kitu upande wa TZ
Yeah kweli kabisa, bado sana kwenye data compilation lakini cha kushangaza kwenye boarder entries wapo very careful kuattend kinachoingia na kutoka, hata kwenye entries zetu za ndani, hivi unajua Tanzania ina zaidi ya 70 weight bridges tena nyingine za kisasa sana wakati Kunyaland hata 5 hawana, na systems kwenye hizi weighing bridges ni sophisticated kiasi hata wakitaka kuchukua hizo data za mizigo ni dakika 0 tu, kuna upigaji mkubwa utashtukiwa endapo watafanya hivyo wala sio bure!
 
inabidi tukatae kuuza coal sasa tuuze cement ili kukata ngebe!
It's possible tukishakua na cheap production costs propelled by cheap energy lazima watanunua Tanzania watake wasitake,

Ni wazi Kunyaland haina biashara yoyote ya maana Tanzania, kama Pakistan, Netherlands na UK wananunua zaidi kutoka Kenya kuliko Tanzania an easy next door neighbor tulio na regional harmonized trade conducts na easy access kama tu Uganda lakini hawana cha maana cha kutuuzia ni wazi hata hizi billion 44 sio za kweli ni fakery

Kunyaland kwa namna wanavyojitapa ni most industrialized hawana hiyo status kwenye realistic trade volumes na Tanzania, hata Uganda numbers zipo hivyo sababu ya bandari tu

20240105_164911.jpg
 
It's possible tukishakua na cheap production costs propelled by cheap energy lazima watanunua Tanzania watake wasitake,

Ni wazi Kunyaland haina biashara yoyote ya maana Tanzania, kama Pakistan, Netherlands na UK wananunua zaidi kutoka Kenya kuliko Tanzania an easy next door neighbor tulio na regional harmonized trade conducts na easy access kama tu Uganda lakini hawana cha maana cha kutuuzia ni wazi hata hizi billion 44 sio za kweli ni fakery

Kunyaland kwa namna wanavyojitapa ni most industrialized hawana hiyo status kwenye realistic trade volumes na Tanzania, hata Uganda numbers zipo hivyo sababu ya bandari tu

View attachment 2862643
Bongoslum haiko hata kwa top 10 countries we import products from but inafurahisha sana kuona muko kwa top 5 countries that we export products to. 😂 😂 😂 Ruto ndio dawa yenu nyi burukenge.

graphic
 
Bongoslum haiko hata kwa top 10 countries we import products from but inafurahisha sana kuona muko kwa top 5 countries that we export products to. 😂 😂 😂 Ruto ndio dawa yenu nyi burukenge.

graphic
Bashe kishaanza kuwabana,kaeni kwa kutulia takwimu zitakuja tu maana mlikua mnachukua vitu kiushkaji kama unatoa kitu nyeri kupeleka kibera
 
Bongoslum haiko hata kwa top 10 countries we import products from but inafurahisha sana kuona muko kwa top 5 countries that we export products to. 😂 😂 😂 Ruto ndio dawa yenu nyi burukenge.

graphic
Sikujua export yenu ni $5 billion wakati Tanzania ni $6 billion na hapo bado hatujaanza kuexport natural gas yetu wala strategic metals ambazo both zipo under the massive processing procedures

Ninyi nyumbu mna trade eclipse ya $4 billion 😂😂😂


View: https://twitter.com/Samiadiehardfan/status/1737839913268351162?t=MsgrzwI2BjZK2EYTE9vljQ&s=19
 
Back
Top Bottom