The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Wamezaana kama mchwa, kanchi kadogo wapo over 60m.
Tupo hovyo wakati mpo kwenye list ya Kenya's leading export destinations wakati nyinyi hampo kwenye list ya Kenya's top import countries. Sasa jiulize nani ako hovyo kati yenu nasiMzee tupo na data zinazoonesha mlivyo hovyo thou still half-baked lakini bado ni za hovyo, kitengo chenu cha fakery and forgery kinahitaji revamping program ASAP
View attachment 2862832
And because they can't do anything about it or counterattack it, they end up consoling themselves by saying ni data za kupikwa. Hawa vilaza never cease to amaze!!Data ndio hua dawa ya hawa mafala. 😀😂
Kenya mnajiharishia tuu hakuna kitu Cha maana mnafanya 🤪🤪Yani vitu Kenya ilianza kufanya miaka ya nyumba ndio sasa mnashtuka kuvifanya 🤣🤣🤣 alafu kelele mnapiga mithili ya chiriku!!
Chukua hiyo $400 tulio export kwenu nenda kaiconvert kwenye madafu yenu then utajua kwanini mlituogopa kutuweka kwenye rank 😂😂😂Tupo hovyo wakati mpo kwenye list ya Kenya's leading export destinations wakati nyinyi hampo kwenye list ya Kenya's top import countries. Sasa jiulize nani ako hovyo kati yenu nasi
Hakuna kitu Cha maana tunafanya wakati hadi kufikia sasa mnatumia cables zilizotengenzwa KenyaKenya mnajiharishia tuu hakuna kitu Cha maana mnafanya 🤪🤪
Chukua hiyo $400 tulio export kwenu nenda kaiconvert kwenye madafu yenu then utajua kwanini mlituogopa kutuweka kwenye rank 😂😂😂
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1579349232154447872?t=Am-QVEeT_3nYH0KsTweeyQ&s=19
Usineletee kisirani, umeconvert hizo dollar? Weka hapa kwenye hii rank au ukalale, actually mnaimport more from Tanzania than from the UK, eat thatBongolala, don't be blinded by stupid patriotism. You exported goods worth $397m to Kenya in 2021 yet you imported goods worth $410m from kenya the same year. So if I may ask, in whose favor is this balance of trade?
Kumbe we are just engaging dimwits here!!! Didn't know that
Kisirani ni wewe kilaza wa Tandale. Even if I do the conversion, it still beats you by far.Usineletee kisirani, umeconvert hizo dollar? Weka hapa kwenye hii rank au ukalale, actually mnaimport more from Tanzania than from the UK, eat that
View attachment 2862871
With this same lazy gov ?Hivi ule utaratibu wa gold reserves BOT ushaanza?
Ni kuwakazia tu hamna kuwauzia mahindi,tuwauzie ungaHawa wangese wanatakiwa wapungue, wapo zaidi ya milioni 60 na wanategemea chakula cha bei chee kutoka Tanzania.
Ujanja huo hamna,huo ulikua mkwara baada ya kuzuiwa kuingia mashambaniNawe pia endelea kujifariji kama huyo kilaza mwenzako.
Mahindi yenu tulishapiga ban kitambo sana. Enda na wakati bongolala
Ruto bans wheat, maize importation to protect farmers
Hakuna kitu Kenya imefanya hakijafanyika Tanzania ila kuna vitu vingi Tanzania imefanya Kenya haitafanya kwa miaka 100 ijayo, ukibisha niambie.Yani vitu Kenya ilianza kufanya miaka ya nyumba ndio sasa mnashtuka kuvifanya 🤣🤣🤣 alafu kelele mnapiga mithili ya chiriku!!
Serikali ya CCM inawalea lea sana wangese hawa, ndiyo maana hawakumpenda Magu mana jamaa alikuwa bepari mweusi.Ni kuwakazia tu hamna kuwauzia mahindi,tuwauzie unga