Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkunya anakwambia eti wameongeza mauzo ya bidhaa zao Tanzania na yamenakisi yetu kwa zaidi ya 40% hivi wanajua kwamba hakuna cement Kunyaland inazalishwa bila coal ya Tanzania? Ni kitu gani cha maana kikubwa Kunyaland inaiuzia Tanzania bila hicho Tanzania haizalishi bidhaa muhimu kama cement?

Wakundustan wamekua wakifake data zao mno wanasema eti Tanzania inaiuzia sana mahindi kitu ambacho sio kweli kama ni mzoefu wa barabara ya Iringa Arusha utaona malori ya coal yasio na idadi daily yanaply hiyo route na huo sio uchumi mdogo, Tanzania imeiuza nje coal yenye thamani ya $230 million 2023


View: https://twitter.com/_ngwata/status/1740424208285622328?t=TU3U1F1zbRb0ivbWht7ucA&s=19


View: https://twitter.com/nyuki_malkia/status/1736315466195296270?t=NgAQBz-dc5s-51thtpkV1w&s=19


View: https://vm.tiktok.com/ZM65WAjwo/

inabidi tukatae kuuza coal sasa tuuze cement ili kukata ngebe!
 
Elimu ya Kenya
1704437690139.png
 
Mkunya anakwambia eti wameongeza mauzo ya bidhaa zao Tanzania na yamenakisi yetu kwa zaidi ya 40% hivi wanajua kwamba hakuna cement Kunyaland inazalishwa bila coal ya Tanzania? Ni kitu gani cha maana kikubwa Kunyaland inaiuzia Tanzania bila hicho Tanzania haizalishi bidhaa muhimu kama cement?

Wakundustan wamekua wakifake data zao mno wanasema eti Tanzania inaiuzia sana mahindi kitu ambacho sio kweli kama ni mzoefu wa barabara ya Iringa Arusha utaona malori ya coal yasio na idadi daily yanaply hiyo route na huo sio uchumi mdogo, Tanzania imeiuza nje coal yenye thamani ya $230 million 2023


View: https://twitter.com/_ngwata/status/1740424208285622328?t=TU3U1F1zbRb0ivbWht7ucA&s=19


View: https://twitter.com/nyuki_malkia/status/1736315466195296270?t=NgAQBz-dc5s-51thtpkV1w&s=19


View: https://vm.tiktok.com/ZM65WAjwo/

Kwann tunawauzia coal? tuwauzie end product na sio raw materials.
 
Mkunya anakwambia eti wameongeza mauzo ya bidhaa zao Tanzania na yamenakisi yetu kwa zaidi ya 40% hivi wanajua kwamba hakuna cement Kunyaland inazalishwa bila coal ya Tanzania? Ni kitu gani cha maana kikubwa Kunyaland inaiuzia Tanzania bila hicho Tanzania haizalishi bidhaa muhimu kama cement?

Wakundustan wamekua wakifake data zao mno wanasema eti Tanzania inaiuzia sana mahindi kitu ambacho sio kweli kama ni mzoefu wa barabara ya Iringa Arusha utaona malori ya coal yasio na idadi daily yanaply hiyo route na huo sio uchumi mdogo, Tanzania imeiuza nje coal yenye thamani ya $230 million 2023


View: https://twitter.com/_ngwata/status/1740424208285622328?t=TU3U1F1zbRb0ivbWht7ucA&s=19


View: https://twitter.com/nyuki_malkia/status/1736315466195296270?t=NgAQBz-dc5s-51thtpkV1w&s=19


View: https://vm.tiktok.com/ZM65WAjwo/

Shida iliyokuwepo ccm hawapo care na hii nchi,hawajali kitu kinaitwa data,wao ili mradi familia zao mambo yanaenda,imagine zambia,malawi na east congo 80% mizigo yao wanaipitishia dar port,kuna burundi na wenyewe % kubwa wanatumia dar port,lakini data zinaonyesha bado tunashindana na kunyanduana port,border zote tulizopakana na kunyan ni wakunyan ndio wanategemea kila kitu upande wa TZ
 
Kama ni kuto kujaa kwa maji, inawezekana wapo watu wanahujumu hiyo miradi kwa kuchepusha maji kwaajili ya matumizi yao binafsi.
Maji yakijaa huwa yanafunguliwa usiku yamwagike alishatuambia mzalendo namba mbili wa nchi hii baada ya Mwalimu Nyerere. Eti mvua za kujaza bwawa hazikunyesha miaka miwili ukanda wa nyanda za juu kusini, akamuongopee mama yake chawa huyo japo nmecheka jinsi alivyokuwa anasimulia 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom