Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TKo ipi hiyo wewe mkunyanduana?au hiyo zei nini ndio tko yenyewe?
Hiki nini yarabbi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Kwanini kujitesa hivi as if viboko vya Muingereza havikuwaingia vizuri?
20231102_173022.jpg
 
Sikujua export yenu ni $5 billion wakati Tanzania ni $6 billion na hapo bado hatujaanza kuexport natural gas yetu wala strategic metals ambazo both zipo under the massive processing procedures

Ninyi nyumbu mna trade eclipse ya $4 billion πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


View: https://twitter.com/Samiadiehardfan/status/1737839913268351162?t=MsgrzwI2BjZK2EYTE9vljQ&s=19

Hio ni data ya 10 months unalinganisha na 12 months, enyewe wewe primary school dropout hupendi kusoma na kuelewa. So long as bongoslum is not our top 10 imports inanipea raha tele. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ We can survive without you products but nyinyi hamuwezi toboa bila sisi. Kuja Nairobi industrial area uone vile lorry zenu mingi zimepanga foleni kungoja finished goods.
 
Hio ni data ya 10 months unalinganisha na 12 months, enyewe wewe primary school dropout hupendi kusoma na kuelewa. So long as bongoslum is not our top 10 imports inanipea raha tele. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ We can survive without you products but nyinyi hamuwezi toboa bila sisi. Kuja Nairobi industrial area uone vile lorry zenu mingi zimepanga foleni kungoja finished goods.
5 divide by 10 ni 0.5, hamfiki $6 billion hata muwe na a 15 months year πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 

Tukiwaambia nyinyi ni wadogo wetu kwenye kila nyanja, na kwamba number mtazidi kusoma we know what we are talking about.

Kenya's total exports in 2022 was $13.85bln. Compare that with your fugure of $7bln the same year

 
Tukiwaambia nyinyi ni wadogo wetu kwenye kila nyanja, na kwamba number mtazidi kusoma we know what we are talking about.

Kenya's total exports in 2022 was $13.85bln. Compare that with your fugure of $7bln the same year

Data ndio hua dawa ya hawa mafala. πŸ˜€πŸ˜‚
 
Tukiwaambia nyinyi ni wadogo wetu kwenye kila nyanja, na kwamba number mtazidi kusoma we know what we are talking about.

Kenya's total exports in 2022 was $13.85bln. Compare that with your fugure of $7bln the same year

Who's macro trends? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii umeichomoa matakoni kwako as usual!
 
Endelea kujifariji bongolala
Mkundustan ndio unajifariji maana unajua kabisa wakundustan milioni 60 kila siku lazima wale sima ya kutokea Tanzania huku wakiburudishwa na bongo fleva,halafu mkitoka hapo mnadanganyana eti TZ haipo kwenye top 5 yenu ya nchi mnazoexport vitu,lakini mkiandamana uwa mnalalamikia mahindi ambayo 99% yanatokea TZ nchi mnayodai amuitegemei,bashe ana muarobaini wenu,subirini tu
 
Mkundustan ndio unajifariji maana unajua kabisa wakundustan milioni 60 kila siku lazima wale sima ya kutokea Tanzania huku wakiburudishwa na bongo fleva,halafu mkitoka hapo mnadanganyana eti TZ haipo kwenye top 5 yenu ya nchi mnazoexport vitu,lakini mkiandamana uwa mnalalamikia mahindi ambayo 99% yanatokea TZ nchi mnayodai amuitegemei,bashe ana muarobaini wenu,subirini tu
Nawe pia endelea kujifariji kama huyo kilaza mwenzako.

Mahindi yenu tulishapiga ban kitambo sana. Enda na wakati bongolala
Ruto bans wheat, maize importation to protect farmers
 
Mkundustan ndio unajifariji maana unajua kabisa wakundustan milioni 60 kila siku lazima wale sima ya kutokea Tanzania huku wakiburudishwa na bongo fleva,halafu mkitoka hapo mnadanganyana eti TZ haipo kwenye top 5 yenu ya nchi mnazoexport vitu,lakini mkiandamana uwa mnalalamikia mahindi ambayo 99% yanatokea TZ nchi mnayodai amuitegemei,bashe ana muarobaini wenu,subirini tu
Hawa wangese wanatakiwa wapungue, wapo zaidi ya milioni 60 na wanategemea chakula cha bei chee kutoka Tanzania.
 
Back
Top Bottom