Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Xmass nilikuwa Dodoma, nmeona lile eneo la uwanja mkubwa wa kisasa wa michezo wenye capacity ya 30k spectators tayari mkandarasi kashazungushia uzio wa mabati. Mtu mwenye details alete tafadhali. Such a good news.
Mkandarasi anaitwa Beijing Construction Engineering Group ni yule yule aliyejenga BM national stadium.

Sehemu iliyozungushiwa uzio ni ujenzi wa awamu ya kwanza ambayo itahusisha viwanja vya michezo mbalimbali vikiwemo sehemu za kuogelea nk.
Awamu ya pili ambayo itahusisha uwanja wa mpira iko nyuma ya palipo zungushiwa uzio.
 
Dege la ma delays. Ethiopian Airlines utaiweka wapi? Air link? Egypt Air? Endeleeni kujipa moyo, leo pekee dege limekula delays ndege zote, kuanzia 483 mpaka 487 halijaruka mpaka sahizi.
Ndio Kwanza limeruka sahizi 👇👇🤣🤣🤣
Screenshot_20240104-212000~2.png
 
Huyu dogo ni muingereza anaishi TZ now,anaongea kiswahili kama anavyoongea bongozozo,kunyan uwa wanajipekeza sana kwake ile "come to kunyanduana" anawachana,leo kawachana vibaya ya kuwa hawajui kiingereza wala kiswahili kunyanduana wamepanic vibaya 😂
 

Attachments

  • ddf26ce72409d5277c406bcc1680b592.mp4
    7.3 MB
Huyu dogo ni muingereza anaishi TZ now,anaongea kiswahili kama anavyoongea bongozozo,kunyan uwa wanajipekeza sana kwake ile "come to kunyanduana" anawachana,leo kawachana vibaya ya kuwa hawajui kiingereza wala kiswahili kunyanduana wamepanic vibaya 😂
Hii imenikumbusha mbali kidogo😞😞

Kuna ndugu zangu walitoka Kenya Kuja bongo kufuata matibabu,sasa walipoanza kuongea ngeli niliwaona wapo vizuri sana

Lakini,walipoanza kuandika kwa kimombo hicho hicho nilikuwa nacheka sana🤣🤣 yani wanaandika kama watoto wa nursery na mpaka hivi sasa uwa nakutana nao wengi wanajichanganya kila siku
 
Hii imenikumbusha mbali kidogo😞😞

Kuna ndugu zangu walitoka Kenya Kuja bongo kufuata matibabu,sasa walipoanza kuongea ngeli niliwaona wapo vizuri sana

Lakini,walipoanza kuandika kwa kimombo hicho hicho nilikuwa nacheka sana🤣🤣 yani wanaandika kama watoto wa nursery na mpaka hivi sasa uwa nakutana nao wengi wanajichanganya kila siku
Wakenya wengi sana wanatibiwa TZ ila kimya kimya!
 
Wakenya wengi sana wanatibiwa TZ ila kimya kimya!
Ni wengi sana na ukitaka kuamini nenda pale Bugando Kuna gari nyingi sana zenye plate number za kikenya zimejaa pale parking

Shida ya nchi hii (CCM) uwa hatuna utunzaji records,kwa mfano; leo mtu akienda kutibiwaa Kwa Madiba,lazima aulizwe ametoka nchi gani na taarifa zake zitahifadhiwa kwenye daftari la takwimu.......Mwisho wa mwaka uwa wanatangaza kuwa kwa mwaka mzima wamehudumia wananchi wengi kutoka nchi fulani na fulani

Lakini,ukija hapa kwetu Kuna wageni wanakuja kila siku kutibiwa Muhimbili,KCMC Au Bugando Lakini ukienda kwa watu wa takwimu ukiwauliza ni wageni wangapi kama taifa tumewahudumia kwa mwaka huu?? Watakujibu hapana hyo taarifa

Tunatia huruma sana ila tutafika tu soon.........tukifanikiwa kuutoa huu mfumo uliokufa kwa taifa
 
And guess what ni vile tu, serikali yetu ni upuuzi mtupu, lakini kama wangalikua Wana record number zetu kwenye kila sector ipasavyo basi tungekua tunaongea habari zingine hapa.. infact sisi uchumi wetu una base imara, hatutegemei foreigners ka nyinyi. BlietzKrieg
GDP halisi ya Tz ni $150b na SGR plus JNHPP zikianza kazi tutakuwa kwenye $250b.
 
Mkunya anakwambia eti wameongeza mauzo ya bidhaa zao Tanzania na yamenakisi yetu kwa zaidi ya 40% hivi wanajua kwamba hakuna cement Kunyaland inazalishwa bila coal ya Tanzania? Ni kitu gani cha maana kikubwa Kunyaland inaiuzia Tanzania bila hicho Tanzania haizalishi bidhaa muhimu kama cement?

Wakundustan wamekua wakifake data zao mno wanasema eti Tanzania inaiuzia sana mahindi kitu ambacho sio kweli kama ni mzoefu wa barabara ya Iringa Arusha utaona malori ya coal yasio na idadi daily yanaply hiyo route na huo sio uchumi mdogo, Tanzania imeiuza nje coal yenye thamani ya $230 million 2023


View: https://twitter.com/_ngwata/status/1740424208285622328?t=TU3U1F1zbRb0ivbWht7ucA&s=19


View: https://twitter.com/nyuki_malkia/status/1736315466195296270?t=NgAQBz-dc5s-51thtpkV1w&s=19


View: https://vm.tiktok.com/ZM65WAjwo/
 
Back
Top Bottom