Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe mbuzi,Hawa tbc hawatarusha mechi zote kama Azam.Supersport Wana Haki ya premier ila Kuna Baadhi ya mechi zinarushws Hadi na Azam.Ndicho kitafanyika hata huko Afcon.

Rights za mechi zote ni Azam ila hao wengine watanunua Baadhi ya mechi tuu.

Wewe Babu una chuki Kwa Samia Hadi matraakon mwako.
haka kajamaa eti kanataka kubishana na mim kweny mambo ya mpira.🤣 kanachekesha sana..
(next time usijaribu tena)
anyway, niliandika mengi ili nikupe elimu, ila nimeachana nayo uendelee kubaki na ujinga wako

Ila kiufupi.
Azam wataonyesha AFCON Tanzania tu. Narudia, ni Tanzania tu, zingatia neno (Available only in Tanzania) kwenye post yao, kenya hawataweza kuona! Ila kupitia TBC, wakenya wanaweza kuona mechi, TBC hawana restrictions ya wapi wanaweza kuonyesha sababu wataonyesha kupitia TBC1 free channel.

View: https://twitter.com/bedjosessien/status/1742223704925356423?t=PRa4Oamdg81tSm2BVFpx0g&s=19

View: https://twitter.com/bedjosessien/status/1742259789562798490?s=19

Hii ni kipande cha convo tu na mmoja wa directors wa TBC, ni mmama
Screenshot_20240104-085855_WhatsApp.jpg
 
Wewe mbuzi,Hawa tbc hawatarusha mechi zote kama Azam.Supersport Wana Haki ya premier ila Kuna Baadhi ya mechi zinarushws Hadi na Azam.Ndicho kitafanyika hata huko Afcon.

Rights za mechi zote ni Azam ila hao wengine watanunua Baadhi ya mechi tuu.

Wewe Babu una chuki Kwa Samia Hadi matraakon mwako.
So azam tv inahusiana nn na samia?? Au kilichozungumziwa ni samia, unakua ndevu tu akili zinabakia kwenye kishundu??😅😅😅

DSTV sio kampuni ndogo unavoifkiria ww, yes azam anafanya vzr hatukatai lakini kufikia DSTV alipo sio leo wala kesho,
 
So azam tv inahusiana nn na samia?? Au kilichozungumziwa ni samia, unakua ndevu tu akili zinabakia kwenye kishundu??😅😅😅

DSTV sio kampuni ndogo unavoifkiria ww, yes azam anafanya vzr hatukatai lakini kufikia DSTV alipo sio leo wala kesho,
Ana furahisha sana na ujinga wake.
Sikuzote confidence na ujinga haviendani
Screenshot_20240104-113827_Google.jpg
 
Back
Top Bottom