chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
Wow.!! Kwahyo in just three years wazee tukaongeza 4000 more. .? Sisi ni balaa, mama akimaliza 10 years tutakua na around 25k km .. unyama sana mkuu. 🤣🤣🤣2020 mlikuwa 9,000km of paved roads.
Nimepita mjini x huko kunyan wanalalamika page hii halafu mtu huyo huyo unamkuta page nyingine anajipa moyo dar port hamna traffic jam,viongozi wetu wangeona jinsi wakundustan wanavyoumia kuhusu hii ya bandari,wangeamua hata kupunguza parking fee na mikodi ya ajabu ajabu pale bandariniKwa magari tulishamaliza nao mjadala tanzania ndio transit hub ya magari kwa sasa hata wao hawabishi 😁😁😁😁😁
Imagine zimbabwe nae anapitisha gari kwa wingi tanzania achilia mbali nchi za karibu kama zambia, malawi,rwanda, burundi and uganda etc
Hii kitu serikali iliyopita ilishaur balozi zetu ziwe na vitega uchumi, hili suala limeishia wap?Mozambique Embassy investing in a commercial Building in Dar es salaam.
View attachment 2859313
View attachment 2859315
View attachment 2859316
Dar is slum port is the most inefficient port in the world.
View: https://twitter.com/KinyanBoy/status/1740728716974797013?s=19
According to who mama ngina 🤣🤣🤣🤣2020 mlikuwa 9,000km of paved roads.
According to Tanzania National Bureau of Statistics.According to who mama ngina 🤣🤣🤣🤣
Mwaka wa tabu kwa wakunya
View attachment 2858931
Poorest and poverty are two different phenomenaPoverty and Tanzania are like twins.
View attachment 2858487
Magufuli yuko hai 2020 tulikua na over 13,000km paved na under construction zilikua 2000km 😁😁😁😁 kigoma and tabora alone kuna zaidi ya 1000km of roads zinajengwa hvi tunavoongea projects mpya bado mikoa zaidi ya 25 projects mpya 😁😁According to Tanzania National Bureau of Statistics.