Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Emirata double dose.

1704139952082.jpg
 
Huyo ni limbukeni alikuwa jobless kwa miaka yote yupo humu jf kuanzia asubuhi mpaka usiku now amepata kibarua hatupumui.
Mimi sio jobless like most Tanzanians here. At least wewe ni watchman hata kama unalipwa 7,000 Kenyan shillings umeshinda most jobless tanzanians here.
 
Hili suala la foleni ya meli kwenda bandarini limewastua sana wakundustan, yaani wamerekodi wenyewe, Wametumiana huko mitandaoni halafu nchi ikachafuka,
Ni kama moshi ukipuliziwa kwenye pango la panya, wanatoka huko mmoja mmoja huku wakiwa wamechanganyikiwa. Kuanzia raia wa kawaida hadi Wanasiasa wao.
Na huu ni mwanzo tu, njooni mrekodi bwawa la Nyerere kisha mtumiane huko mkichafue, bado Miradi ya BRT, SGR, Viwanja vya ndege Dodoma , barabara , Viwanja vya mpira wa miguu, bomba la mafuta ghagi, LNG mradi wa b42$ (50% ya uchumi wa kundustan), viwanja vya ndege nk ..kujeni mrekodi mtumiane clip
 
Back
Top Bottom